Mkuu kuongezwa muda si tatizo,Kwa nafasi nyeti kama hiyo kuna mambo mengi muhimu ya Kufinalise, na ukizingatia kuwa yeye ndiye mtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais Kuleta mtu mpya Kunaweza zorotesha utendaji, mara nyingi mtu mpya anahitaji muda kabla hajaanza kumudu.