Kwa lipi?Wameambiwa na Makala watulie,
Uchaguzi kama vile watu wako msibani, hakuna shamrashamra.
Kamshtaki kama alidhulumu, sheria ziko wazi na vile hapendwi na chama basi mtashinda km alidhulumu kweliAmekwisha huyo, akalime mashamba aliyodhulumu morogoro
Huyo jamaa huwa hatajwi yari yako utashangaa yupo kitandani kwako, ooooh wewe aya weeeYuko Wapi Luhaga Mpina ambaye ametambulishwa kama Mbunge wa Taifa, sijamsikia siku nyingi je amechukua fomu au na yeye ameacha kuchukua fomu kama Gwajima na Majaliwa?
😂😂😂😂😂Mi namtafuta Kangi Lugola. Akifunguliwa uzi mni-tag
Huyo nitafika asubuhi saa 11 alfajiri kumpigia kura kama amgeweza kupitaAnaweza kwenda kuchukua fomu ya Urais
Atakuwa cuba hivisasaYuko Wapi Luhaga Mpina ambaye ametambulishwa kama Mbunge wa Taifa, sijamsikia siku nyingi je amechukua fomu au na yeye ameacha kuchukua fomu kama Gwajima na Majaliwa?