GE2025 Luhaga Mpina tumeshakushitukia mapema sana

GE2025 Luhaga Mpina tumeshakushitukia mapema sana

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Kutoka CCM hadi ACT WAZALENDO ni maagizo kutoka juu kupitia kwa Zitto Kabwe

Walianza tume wakampitisha kuwa mgombea wa kiti cha urais muda kidogo tume wakasema hana sifa wapi na wapi?

Mara eti kesi yakubumba mahakamani ili tu ionekane et kwamba haibani wapinzani luhaga mpina amewekwa hapo kwa maelekezo maalumu na wlala hawezi kushinda kiti cha urais .

Mnaojifanya eti Mpina ameshinda kesi nawaona km hamnazo😁😁😁

Mtu mzima hapangwingwi

Kwa leo naishia apo
 
Mbona hizi abrakadabra za siasa wajuvi wa mambo wanajua huu mchezo mjuba? Hapa haihitajiki ha D moja kujua huu mchezo wa kisiasa
eti alikuwa mbunge wa kisesa kisesa hkn maendeleo yeyote
 
mpina ni falasi mmoja hawezi kututoa kwenye focus
 
Kutoka CCM hadi ACT WAZALENDO ni maagizo kutoka juu kupitia kwa Zitto Kabwe

Walianza tume wakampitisha kuwa mgombea wa kiti cha urais muda kidogo tume wakasema hana sifa wapi na wapi?

Mara eti kesi yakubumba mahakamani ili tu ionekane et kwamba haibani wapinzani luhaga mpina amewekwa hapo kwa maelekezo maalumu na wlala hawezi kushinda kiti cha urais .

Mnaojifanya eti Mpina ameshinda kesi nawaona km hamnazo😁😁😁

Mtu mzima hapangwingwi

Kwa leo naishia apo
Atanogesha matamasha ya CCM.
 
Back
Top Bottom