Luhaga Mpina katumwa na nani?

A
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Ametumwa na wapiga kura wake wewe macho kodo kwenye ugali 😂😂😂😂
 
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Tusiweweseke tumwache aseme, huenda yapo mengi mazito, tukimshambulia kwa maneno ni ishara tosha kuwa kuna jambo linafichwa
 
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
1) mitkaaba ya kitapeli ,43 ipelekwe bungeni
3).Kifo Cha dhalimu kichngizwe
3) wakuu wa mashirika wapitie usail

Naunga mkono hoja zake ingawa natilia shaka uzalendo wake
 
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Simba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kabla hujatuhumu jiulize kwanini sasa yasemwe hayo!!?

Kwanini yametolewa matamko fulani kuhusu hayo yanayoleta uwalakini!!?

Katumwa na na nani!!?hujui Raise ni mali ya jamuhuri!!?

Haya mambo ya kimfumo tuwaachie wenyewe tusubiri ripoti TU ya uchunguzi kama wataridhia uchunguzi ufanyike!!
Haiwezekan na haitawezekana
Hakuna uchunguzi hapa


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sasa Luhaga Kakosa Nini??? Kasema hela zimetoroshwa na zimeibwa kwanini msijibu hoja?? Kwamba hela hizi hapa hazijaibiwa mnamshambulia binafsi yaani nchi ina watu wajinga sana
MIAKA 7000 HAITASOGEA mbele nyie wanafiki ndio mnaumiza nchi hiyo.

Barabara zimezidiwa mpaka sasa unaweza kutumia saa 10 kutoka Dodoma mpaka Dar kim 425 halafu mtu mpuuzi anasema nchi iko vizuri.Acheni ujinga nyie.
Watu wanalamba asali wewe tulia kimya
We hupendi kulamba asali??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Juu ni sehemu ya Wadau walioona mazuri ya Hayat Rais. Hatahivyo, chini ni majibu yaliyojaa chenga za njama dhidi ya Hayat Rais Magufuli- soma vizuri au fuatilia nyuzi kwa kugonga nukuu

Alimuua nani?
Huo mkono ni Mkono Upi?


Huo ni upanga gani?

Kuna crypted Messages hapa JF. Nashauri Mahakama zitoe muongozo nyuzi nyingi zipitiwe na kuhifadhiwa tayari kwa Uchunguzi na wahusika wote wa messages kama hizi wachunguzwe. Walijua nini?
Hakuna uchunguzi utakaofanyika
Tulien mfanye kazi


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mtake msitake lazima uchunguzi ufanyike mbivu na mbichi zijulikane, na hiyo tayari ilishewekewa mpango. Tatizo lenu lilikuwa ni kutekeleza mauaji na kuanza kuropoka ropoka na vijembe kuonesha kuwa eti mlifanya sahihi eti wazee walichoka wakaona inatosha ndiyo maana wazuri hawafi hahaha , yaani kwa kauli zenu wenyewe mmejikaanga sana kujionesha Dkt Magufuli mlimuua
Peleka upumbavu wako huko
Labda huo uchunguzi ufanye wewe

Wahuni nyie
Hakuna uchunguzi utakaofanyika hapa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ushahidi bosi upo mwingi sana tena mwingi mno maana hata kauli tu za wauaji akina nt na s100 vinathibitisha walimuua tena wanafuraha mno kuwa walimuua na wewe unajua mpaka yule babu marope akasema eti wazee walisema wamechoka wakasema sasa basi wazuri hawafi inathibitisha walimuua Dkt Magufuli.
Acha ujinga wako wewe mpumbavu
Unaropoka tuu
Kaa tulia ulambe asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Luhaga Mpina, yule kijana aliyekuwa waziri , haachi ulalamika.
Hajui kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma.
Hakuna anayependa kula matapishi.

Hili la kutaka uchunguzi eti juu ya kifo ch Magufuli, rais aliyekuwa hapandi ndege, rais aliyekungwa pacemaker kwa miaka zaidi ya 10, rais liyekuwa anajulikana kuwa na file Milembe!-Luhaga kakosea tena sana.

Tatizo si kwamba haju, ila anataka kuweka mchanga kwenye utawala wa mama Samia, utawala wa Awamu ya sita.
Hata kama Luhaga mpina ni mwandamizi katika Sukuma Gang, kumpuuza kuna stahili.
Suala ni je, nani kamtuma?
Kwani hofu yako ni nini? Ulihusika?
 
Acha ujinga wako wewe mpumbavu
Unaropoka tuu
Kaa tulia ulambe asali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Shikamoo mbarika nisamehe kama nimekukera mbarika, mimi ni mjumbe tu mtoa taarifa ambazo zipo kila sehemu juu ya wauaji wa Dkt Magufuli na marope ni moja ya wahusika kwa kauli yake aliyoitamka kuwa wazuri hawafi na wazee walichoka hivyo wakamuua Dkt Magufuli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom