kuna jamaa mmoja alikuwa nchi ya uarabuni.Alipo kuwa anataka kuvuta sigara yake akagundua kwamba hana kibiriti..Bahati nzuri mbele yake kulikuwa na mwarabu,tatizo likaja kwamba hajui kiarabu,basi ili aeleweke akamwambia yule mwarabu "give me JEHANNAM"...