Kuna watu hata tujifunze vipi Kiingereza kinatupa shida tu. Kinatunyima raha. Kinatuondolea uhuru wa kujieleza.
Sasa inakuwaje ukioa mtu asiyeweza kujua Kiswahili? Si inakuwa vigumu kumueleza yaliyo moyoni? Si penzi litakwaza na lugha?
Kuna lugha ya picha pia.
Halafu wanasemaje? Matendo huongea zaidi ya maneno!
Halafu wanasemaje? Matendo huongea zaidi ya maneno!