Kwa upande wangu naona Spanish ni rahisi zaidi.
Kama una enda kwa scholarship sawa ila Kama unalipa mwenyewe usiende
Vipi kama nitaopt kwenda kusoma Ukraine bila scholarship I mean nitajidhamini mwenyewez, nitamudu gharama za Ukraine!?
Kwanini umesema nisiende Russia bila scholarship!?
Hali ya uchumi ya Russia kwa sasa ni mbaya coz of political issue between Russia and USA and including Ukraine so if u hav money u better find another country but not Russia and Ukraine alafu uku degree ni miaka 4 plus 1 wa LUGHA so think twice
Kwa hiyo mbali na Russia na Ukraine kuna nchi yoyote yenye ada nafuu ambayo ninaweza kusoma masters huko majuu!?
Vipi kuhusu Canada, New zealand, maana nachohitaji ni chuo kiwe na ada nafuu, kisiwe na madai ya mwanafunzi kuwa na English profficiency certificates za Toefl au Ielts, uchumi wa nchi yake uwe murua kidogo.
Unanishauri vipi juu ya nchi na chuo cha kwenda kusoma aidha ulaya, marekani au Australia!?
Mkuu nashukuru kwa kuliona ilo swala kuna watu wakera
hao ndio kizazi cha wamezeshwa fikra,wamezoea hivyo.
Lugha nyepesi kujifunza ni lugha ya kispania (la lengua que es muy muy eficil por estudiar es lengua de español porque tu puedes escribir como sido escribido) kwa kuwa unaweza kuisoma vile vile kama ilivyoandikwa na tofauti ni chache sana.
BIENVENIO ESTUDIAR ESTE BUENA LA LENGUA (karibu ujifunze lugha hii nzuri).
Mucho gracias senor!
hao ndio kizazi cha wamezeshwa fikra,wamezoea hivyo.
Lugha nyepesi kujifunza ni lugha ya kispania (la lengua que es muy muy eficil por estudiar es lengua de español porque tu puedes escribir como sido escribido) kwa kuwa unaweza kuisoma vile vile kama ilivyoandikwa na tofauti ni chache sana.
BIENVENIO ESTUDIAR ESTE BUENA LA LENGUA (karibu ujifunze lugha hii nzuri).
Mkuu wapi wanafundisha espanol kwa hapa Dar? na gharama zipoje?
Unaweza kwenda Germany. Kusoma chuo ni bure hata kwa international students. Na mara nyingi unapewa option ya lugha za kusoma mfano German au French.Kwa hiyo mbali na Russia na Ukraine kuna nchi yoyote yenye ada nafuu ambayo ninaweza kusoma masters huko majuu!?
Vipi kuhusu Canada, New zealand, maana nachohitaji ni chuo kiwe na ada nafuu, kisiwe na madai ya mwanafunzi kuwa na English profficiency certificates za Toefl au Ielts, uchumi wa nchi yake uwe murua kidogo.
Unanishauri vipi juu ya nchi na chuo cha kwenda kusoma aidha ulaya, marekani au Australia!?
Je! Ni lugha gani nyepesi sana kujifunza, weka pembeni kingereza na kifaransa.