Lugha gani nyepesi kujifunza!

Lugha gani nyepesi kujifunza!

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
733
Reaction score
568
Je! Ni lugha gani nyepesi sana kujifunza, weka pembeni kingereza na kifaransa.
 
Watu wanaleta utoto kwenye masuala ya msingi.... Mnapoteza maana ya jukwaa hili...!!! Mi nimeingia nionee michango ya wadau; watu mnacomment upuuzi na utoto wenu... Mleta mana ukipata majibu plz share with us...
 
Watu wanaleta utoto kwenye masuala ya msingi.... Mnapoteza maana ya jukwaa hili...!!! Mi nimeingia nionee michango ya wadau; watu mnacomment upuuzi na utoto wenu... Mleta mana ukipata majibu plz share with us...

Mkuu nashukuru kwa kuliona ilo swala kuna watu wakera
 
nadhan..binafsi hakuna lugha nyepesi wala ngumu...kwakua lugha ni mfumo wa sauti za nasibu/kufikirika...it hard to tell...cuz kila mtu anaona lugha yake ni rahisi kuijua...but i blv ukiachilia lugha za wale wenzetu bush men wa jangwa la kalahari(namibia) ambao wanatumia "clicksound"..,lughazote zilizobakia ni rahisi...jus a matter of commitment na persistence tu.kuzi master
 
Watu wanaleta utoto kwenye masuala ya msingi.... Mnapoteza maana ya jukwaa hili...!!! Mi nimeingia nionee michango ya wadau; watu mnacomment upuuzi na utoto wenu... Mleta mana

ukipata majibu plz share with us...


Mkuu la saba B wamejaaaaa kibao humu...haaha
 
Hili jukwaa limevamiwa na watoto, yani kwenye mambo ya msingi wanaleta mzaha. Kama hujisikii kuchangia bora utulie wanaoona umuhimu wa mada watachangia.....wake up guys.
 
nadhan..binafsi hakuna lugha nyepesi wala ngumu...kwakua lugha ni mfumo wa sauti za nasibu/kufikirika...it hard to tell...cuz kila mtu anaona lugha yake ni rahisi kuijua...but i blv ukiachilia lugha za wale wenzetu bush men wa jangwa la kalahari(namibia) ambao wanatumia "clicksound"..,lughazote zilizobakia ni rahisi...jus a matter of commitment na persistence tu.kuzi master

Maelezo mazuri lakin hayashabihiani na dhamira yetu hapa... kw sisi wa-tz lugha ipi at least ni rahis kuielewa mapema among int.languages
 
Maelezo mazuri lakin hayashabihiani na dhamira yetu hapa... kw sisi wa-tz lugha ipi at least ni rahis kuielewa mapema among int.languages[/QUOTE

..oh basi nadhan ni kifaransa..hakina complication nying kama kiingereza...
 
Mwakani naenda kusoma Urusi, na moja kati ya masharti ni lazima ujifunze kirusi, nahofia inaweza kuwa lugha ngumu maana hawana a,b,c,d hawa mabwana..that's means unaenda kujifunza lugha mpyaa kabisaa.

Mungu wa zumaridi nipe ufahamu wa kujifunza haraka.
 
Mwakani naenda kusoma Urusi, na moja kati ya masharti ni lazima ujifunze kirusi, nahofia inaweza kuwa lugha ngumu maana hawana a,b,c,d hawa mabwana..that's means unaenda kujifunza lugha mpyaa kabisaa.

Mungu wa zumaridi nipe ufahamu wa kujifunza haraka.
Kama una enda kwa scholarship sawa ila Kama unalipa mwenyewe usiende
 
Mwakani naenda kusoma Urusi, na moja kati ya masharti ni lazima ujifunze kirusi, nahofia inaweza kuwa lugha ngumu maana hawana a,b,c,d hawa mabwana..that's means unaenda kujifunza lugha mpyaa kabisaa.

Mungu wa zumaridi nipe ufahamu wa kujifunza haraka.

usiofu mkuuuu....utaielewa fasta,,,sababu...utakua unakaaa huko huko...mazingira yatakubana...! ingekua ngumu mnooo..kama io koz ya kirusi ungesomea TZ...af baada ya mda ndo uende urusi...
 
Back
Top Bottom