Ludovick Utouh: Serikali ya Kikwete ilijaa maadili

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,252
Hakika watu walikuwa wameichoka Serikali ya CCM awamu ya 4 Kwa kukumbatia Wezi Mafisadi Na Madalali kila kona, Ofisi za Serikali Na Mashirika ya Umma Na ndio maana kila sehemu in Ufisadi Ufisadi.

Maneno hayo ameyasema alikuwa CAG Bw.Ludovick Utouh wakati akihojiwa Na gazeti ofisini kwake.

Ukweli nchi hii ndio maana tunasema Rais Magufuli ameachiwa nchi iliyooza Na yote Haya ni Sera mbovu za kumbatia Na kuruhusu viongozi kuliibia Taifa letu.

Rais Magufuli una Kazi kubwa Na CCM.
 
Angejiondoa tungekuja na swaga za kakimbia kama wapinzani wakitoka nje ya bunge. Mna maneno wamekimbia iliwapasa wapambane na yye kapambana hakukimbia vijiba moyo cinaanza.
Hivi lipi jema???
 
Atueleze jambo jipya!we already know tangu kipindi kile kwamba serikali ilikuwa ni chafu.
 
Ludovick Utoh angekuwa na Maadili asingejenga hekalu lake kwenye Mikoko ya Fukwe za Bahari ya Hindi!!

Utouh ni Mnafiki sana yeye ndie aliekuwa akitoa hati safi na hata wizi wa Epa,Escrow na Richmond ulifichuliwa na Magazeti wakiwa tayari wametoa hati safi.
Serikali ya Awamu ya nne ndio iliyokufanya ushindwe kutofautisha kati ya maadili na madili?
 
Hakika watu walikuwa wameichoka Serikali ya CCM awamu ya 4 Kwa kukumbatia Wezi Mafisadi Na Madalali kila kona, Ofisi za Serikali Na Mashirika ya Umma Na ndio maana kila sehemu in Ufisadi Ufisadi.

Maneno hayo ameyasema alikuwa CAG Bw.Ludovick Utouh wakati akihojiwa Na gazeti ofisini kwake.

Ukweli nchi hii ndio maana tunasema Rais Magufuli ameachiwa nchi iliyooza Na yote Haya ni Sera mbovu za kumbatia Na kuruhusu viongozi kuliibia Taifa letu.

Rais Magufuli una Kazi kubwa Na CCM.
Mbona title yako na content ni vitu viwili tofauti?
 
Alikuwa mkaguzi na alikuwa anatumbua majipu mengi sana lakini yaliishia kwe ye.meza ya mkuu
 
Dalali namba moja ni yeye mwenyewe,mbona hakujiondoa mapema? Aache unafiki


Naafikiana nawe kwa 100% huyu Uttoh aliungana na taasisi/mashirika kadhaa mapema mwaka jana kama sijakosea kwenda kumpa tuzo JK kwa utendaji uliotukuka...., leo hakumbuki kutaja huo utukufu....,
 
System ilikuwa imejaa ukabila wa nguvu.
1. CRDB BANK
2. TRA TANZANIA
3. TANZANIA PORT AUTHORITY (TPA)
4. NHC
5. TANROADS
6. NHIF
7. NSSF
 
Mimi nadhani watanzania ni wanafiki NAMBA moja duniani, huyu MZEE alikuwa wapi kuyasema haya kabla ? Hata Rais wetu wa Sasa alisifia sana safari za nje za Jk Leo anazinanga, Makonda nae kaja na biti ya kuponda safari za nje za Jk, Kweli Hata Petro kumsaliti Yesu tuna kitu cha kujifunza kwa maisha ya sasa
 
Wale walio chagua serikali ile kwa hawamu zote mbili ndio maadui wakubwa wa taifa hili kwa vizazi na vizazi. Ule utawala ulichaguliwa kwa kishindo na ni ulikuwa chaguo la mungu! Na malipo ya kuuga mkono serikali dhalimu ni urithi wa umaskini waliokuwa nao hata sasa!!
 
Huyu mzee akae tu kimya cz yeye km CAG kwa nafasi yake alikua na role kubwa sana yakufumua madudu mengi ila akayakalia.Atulie ale pension yake kimya kimya na angekua hajastafu na yeye angetumbuliwa vile vile.
 
Back
Top Bottom