mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
Ludovic achaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya fedha wa UN
Chanzo cha habari ni radio free africa
Chanzo cha habari ni radio free africa
Kweli mkuu pale NBAA alifanya vizuri lakini akingia kwenye mtego wa JD akaharibu kabisahuyu jamaa ni mzuri sana hasa akiwa pale nbaa alijijengea heshima kubwa sana tatizo magamba wanamyumbisha uzee nao umekaribia anaishi kwa wasiwasi
huyu jamaa ni mzuri sana hasa akiwa pale nbaa alijijengea heshima kubwa sana tatizo magamba wanamyumbisha uzee nao umekaribia anaishi kwa wasiwasi
Kumbe viongozi wengi wa Kikwete ni wazuri? Nilikuwa silijui hili.
Tujikumbushe baadha tu,
Dr. Asha-Rose migiro------UN
Dr. Ramadhani Dau-----Africa representative kwenye Association of National social security fund
Chief justice Othman Chande----contestant wa nafasi Luis Moreno Ocamp, yupo kwenye 3 shortlisted
CAG Ludovick Uttoh-----soma hii thread.
Sasa mtu mwenye akili nzuri hebu atueleweshe, tatizo la serikali ya JK tunalolalamikia nini hasa. Bila jazba.
vipi akiwa kwenye udhibiti na ukaguzi pia amejenga heshima kubwa?? au iliishia palepale NBAAhuyu jamaa ni mzuri sana hasa akiwa pale nbaa alijijengea heshima kubwa sana tatizo magamba wanamyumbisha uzee nao umekaribia anaishi kwa wasiwasi
Kumbe viongozi wengi wa Kikwete ni wazuri? Nilikuwa silijui hili.
Tujikumbushe baadha tu,
Dr. Asha-Rose migiro------UN
Dr. Ramadhani Dau-----Africa representative kwenye Association of National social security fund
Chief justice Othman Chande----contestant wa nafasi Luis Moreno Ocamp, yupo kwenye 3 shortlisted
CAG Ludovick Uttoh-----soma hii thread.
Sasa mtu mwenye akili nzuri hebu atueleweshe, tatizo la serikali ya JK tunalolalamikia nini hasa. Bila jazba.
huyu jamaa ni mzuri sana hasa akiwa pale nbaa alijijengea heshima kubwa sana tatizo magamba wanamyumbisha uzee nao umekaribia anaishi kwa wasiwasi
Kumbe viongozi wengi wa Kikwete ni wazuri? Nilikuwa silijui hili.
Tujikumbushe baadha tu,
Dr. Asha-Rose migiro------UN
Dr. Ramadhani Dau-----Africa representative kwenye Association of National social security fund
Chief justice Othman Chande----contestant wa nafasi Luis Moreno Ocamp, yupo kwenye 3 shortlisted
CAG Ludovick Uttoh-----soma hii thread.
Sasa mtu mwenye akili nzuri hebu atueleweshe, tatizo la serikali ya JK tunalolalamikia nini hasa. Bila jazba.
Kumbe viongozi wengi wa Kikwete ni wazuri? Nilikuwa silijui hili.
.Tujikumbushe baadha tu,
.rejea kashfa ya richm0nd 2 dowanz
.rejea kwenye inflation
.rejea rushwa mahakaman
.rejea ubadhrifu wa pesa kwenye halmashauri
.rejea wiz namba 2 wa pesa za EPA
.Rejea uzembe wa mawazir hadi wanalala bungeni
.rejea matumiz makubwa ya serikal
Dr. Asha-Rose migiro------UN
Dr. Ramadhani Dau-----Africa representative kwenye Association of National social security fund
Chief justice Othman Chande----contestant wa nafasi Luis Moreno Ocamp, yupo kwenye 3 shortlisted
CAG Ludovick Uttoh-----soma hii thread.
Sasa mtu mwenye akili nzuri hebu atueleweshe, tatizo la serikali ya JK tunalolalamikia nini hasa. Bila jazba.
Kumbe viongozi wengi wa Kikwete ni wazuri? Nilikuwa silijui hili.
.Tujikumbushe baadha tu,
.rejea kashfa ya richm0nd 2 dowanz
.rejea kwenye inflation
.rejea rushwa mahakaman
.rejea ubadhrifu wa pesa kwenye halmashauri
.rejea wiz namba 2 wa pesa za EPA
.Rejea uzembe wa mawazir hadi wanalala bungeni
.rejea matumiz makubwa ya serikal
Dr. Asha-Rose migiro------UN
Dr. Ramadhani Dau-----Africa representative kwenye Association of National social security fund
Chief justice Othman Chande----contestant wa nafasi Luis Moreno Ocamp, yupo kwenye 3 shortlisted
CAG Ludovick Uttoh-----soma hii thread.
Sasa mtu mwenye akili nzuri hebu atueleweshe, tatizo la serikali ya JK tunalolalamikia nini hasa. Bila jazba.
Wailomchagua Dr Dau ni Vipofu!Wameshindwa kuupima mfuko wake katika eneo la kutoa mafao kwa Wananacha!Ni NSSF ni kati ya mifuko inayotoa mafao kiduchu kwa wastaafu!Dau hana mafanikio bali walikurupukaKumbe viongozi wengi wa Kikwete ni wazuri? Nilikuwa silijui hili.
Tujikumbushe baadha tu,
Dr. Asha-Rose migiro------UN
Dr. Ramadhani Dau-----Africa representative kwenye Association of National social security fund
Chief justice Othman Chande----contestant wa nafasi Luis Moreno Ocamp, yupo kwenye 3 shortlisted
CAG Ludovick Uttoh-----soma hii thread.
Sasa mtu mwenye akili nzuri hebu atueleweshe, tatizo la serikali ya JK tunalolalamikia nini hasa. Bila jazba.
Kumbe viongozi wengi wa Kikwete ni wazuri? Nilikuwa silijui hili.
Tujikumbushe baadha tu,
Dr. Asha-Rose migiro------UN
Dr. Ramadhani Dau-----Africa representative kwenye Association of National social security fund
Chief justice Othman Chande----contestant wa nafasi Luis Moreno Ocamp, yupo kwenye 3 shortlisted
CAG Ludovick Uttoh-----soma hii thread.
Sasa mtu mwenye akili nzuri hebu atueleweshe, tatizo la serikali ya JK tunalolalamikia nini hasa. Bila jazba.
huyu jamaa ni mzuri sana hasa akiwa pale nbaa alijijengea heshima kubwa sana tatizo magamba wanamyumbisha uzee nao umekaribia anaishi kwa wasiwasi