Ludovic Utuoh anapoficha ripoti zake

Jeremy, nimetambua kosa langu na nimeomba msamaha.

1. Sii kweli ripoti ni za Kiingereza. Za
Kiingereza zipo na za Kiswahili zipo.
2. Elimu kwa umma haitolewi kupitia
Michuzi Blog!, elimu kwa umma
inatolewa kupitia media TV, Redio na
Magazeti! yote haya yamekuwa
yakifanyika!.
3. Hili la competance ya Uttouh, I reserve
my comments nisije kuwa emmotional
tena nikakutukana na wewe!.
4. Nimesha liombea msamaha.
5. Ni kweli nimejuta ndio maana
nimeomba msamaha!.

I'll be better than that.

Pasco
 
Mjanja, sijala tenda bali najitolea kusaidia tuu!. Kuhusu CAG nakubaliana na wewe!.
 

Pasco huwa nakuona kama mmoja wa wanaJF walio na maono and sensible arguments, lo kumbe I had a wrong version of you. It is unbelievable kuwa una argue kwa kum-attack mwenzako. Yeye ametoa maoni, challenge to prove him wrong and not by character assassination arguments kama ulivyofanya!!! It is possible CAG kuwa incompetent, why not!
 
CAG Tanzania is Incompetent! who says vice versa??
 
Tumaini we we waajabu sana? Be honest katika ma CAG Watano waliopita tangu uhuru nanikati Yao alifumua uozo Kama ludovick Utouh? Tuwewakweli Kama Utouh ni binadamu huenda anamapungufu yake lakini sio kujenga personalization zako ni mtanzania gani unayemjua ni genius kuzidi wote Tanzania? Nafikiri lets be objective ndo umuhimu wa jf . Watanzania tuattack uozo tuache kumchukia mtu Bali tuchukie uovu au maten do yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…