Lucas Mdeme kiongozi wa genge la utekaji wafanyabiashara wa Madini anayesota Magereza

waziri2020

Senior Member
May 31, 2019
190
451
Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite Lucas Mdeme na meneja wa kampuni ya Madini ya Crown Lapidary anayeshikiliwa Magereza kwa kosa la uhujumu uchumi, huenda akafikishwa mahakamani muda wowote kwa tuhuma za kuongoza genge la uhalifu.

Imegundulika kuwa ndiye aliyeratibu mpango mzima wa Askari watatu na Raia sita waliohusika kumteka na kumwomba rushwa mfanyabiashara mkubwa wa Madini jijini Arusha Sammy Mollel.

Aidha imeelezwa kuwa Mdeme ndiye aliyehusika kupeleka habari za uchochezi zilizochapishwa siku mbili mfururizo kwenye gazeri la Kila siku la JAMVI LA HABARI akichongamisha mihimili ya serikali kwa maslahi yake binafsi.

Mdeme ambaye anaporomosha mjengo wa gorofa eneo la Olorien jijini Arusha anadaiwa kujihusisha kuchora ramani za dili kwa kushirikiana na wahalifu na baadaye kugawana fedha zinazopatikana.
 
Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite Lucas Mdeme na meneja wa kampuni ya Madini ya Crown Lapidary anayeshikiliwa Magereza kwa kosa la uhujumu uchumi, huenda akafikishwa mahakamani muda wowote kwa tuhuma za kuongoza genge la uhalifu.

Imegundulika kuwa ndiye aliyeratibu mpango mzima wa Askari watatu na Raia sita waliohusika kumteka na kumwomba rushwa mfanyabiashara mkubwa wa Madini jijini Arusha Sammy Mollel.

Aidha imeelezwa kuwa Mdeme ndiye aliyehusika kupeleka habari za uchochezi zilizochapishwa siku mbili mfururizo kwenye gazeri la Kila siku la JAMVI LA HABARI akichongamisha mihimili ya serikali kwa maslahi yake binafsi.

Mdeme ambaye anaporomosha mjengo wa gorofa eneo la Olorien jijini Arusha anadaiwa kujihusisha kuchora ramani za dili kwa kushirikiana na wahalifu na baadaye kugawana fedha zinazopatikana.
Mbona ametoka mda tu
 
Siku miiiingi yuko kitaaa.. kesi ilikua ya kusingiziwa... yuko kitaa na hilux 2018 double cabin yake black anakula maisha tu.
 
Mfanyabiashara wa Madini ya Tanzanite Lucas Mdeme na meneja wa kampuni ya Madini ya Crown Lapidary anayeshikiliwa Magereza kwa kosa la uhujumu uchumi, huenda akafikishwa mahakamani muda wowote kwa tuhuma za kuongoza genge la uhalifu.

Imegundulika kuwa ndiye aliyeratibu mpango mzima wa Askari watatu na Raia sita waliohusika kumteka na kumwomba rushwa mfanyabiashara mkubwa wa Madini jijini Arusha Sammy Mollel.

Aidha imeelezwa kuwa Mdeme ndiye aliyehusika kupeleka habari za uchochezi zilizochapishwa siku mbili mfururizo kwenye gazeri la Kila siku la JAMVI LA HABARI akichongamisha mihimili ya serikali kwa maslahi yake binafsi.

Mdeme ambaye anaporomosha mjengo wa gorofa eneo la Olorien jijini Arusha anadaiwa kujihusisha kuchora ramani za dili kwa kushirikiana na wahalifu na baadaye kugawana fedha zinazopatikana.
Huyu jamaa akipiga picha hazitoki?
 
Back
Top Bottom