Mpango wa kuachiana wagombea katika baadhi ya majimbo ya uchaguzi ilishatokea mara kadhaa kama uchaguzi mkuu uliopita Chadema walimwachia jimbo la Kyera Makiembe. NI jambo la kawaida na si Tanzania tu, hayo hutokea katika nchi mbalimbali duniani kwa vyama vya siasa vinavyokuwa na uhusiano mzuri kwa manufaa ya taifa.