haweze kuanzisha chama
mbona inajulikana wazi kuwa Kijana Nape anatumiwa ili kumwangusha Mh,lakini mwisho wa siku atajikuta anahang na yule aliyemtusi akawa ndie Raisi wake,haya leo yupo Singida kkkt,na waumini wameongezeka baada ya kusikia Mh anaingia Singida
kazi ipo
MLA KUKU WA MWENZIE MIGUU HUMGEUKIA