hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,805
Anasubiri Chadema waweke mambo sawa ndo aongee. Wanamuandalia makao
Kweli tabia yake ya kukaa kimya ndiyo inasababisha mambo yake mengi yanaharibika kwani maadui zake wanaendelea kumshambulia lakini yeye hazuii wala hajibu mashambulizi. Hata suala la Richmond lililopelekea kujiuzulu kwake lisingemchafua sana kama angetoka hadharani mapema na kutoa ukweli wote.
Alikuibia nini?
Ni mwizi tu. Hana jipya.
Ni mwizi tu. Hana jipya.
Alikuibia nini?
Alogwe aseme aone ..atafurahi mwenyewe!
He is boring now!
hapo sasa! mwaka huu magamba mtauanaAlikuibia nini?
hapo sasa! mwaka huu magamba mtauana
Ni mwizi tu. Hana jipya.
Lowassa huyu anataka afe then watu waseme amekufa na siri za serikali, stupid idea.
Naona anataka apate public sympathy its only in Tanzania fisadi anaonewa huruma I wish ingekua China huyu mtu hata kwenye mchakato tusingemuona angekua anaitwa Hayati fulani.
Hiyo ndio heading katika gazeti la JamboLeo la siku ya leo.
My take:
Lowassa,wakati sahihi wa kuongea ni sasa na si baadae kwani utakuwa umeshasahaulika na issue pia itakuwa imeshapoa na zaidi uchaguzi utakuwa umeshapita otherwise ukae kimya jumla.
Mzee anaenda Wapi?Hii tabia ya kuropoka mbaya sana.....