Mtoto wa Mama Samia
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 772
- 392
Ngoyayi Lowassa, nini kimekupata? Kwanini umekuwa mtu wa busara tena? Busara itakurejeshea heshima yako au ndiyo itamalizia hata hiyo chembe ya heshima iliyobaki?
Kulikuwa na maana gani ya kutoka CCM kama ulijua kwamba utapoteza uchaguzi na usisabishe homa?
CCM walikudhalilisha kwa kiasi kisichomithilika. Wakakutwisha zigo la Richmond ukahiari kulibeba. Ukapigana kiume hadi Ukashinda hila zao kwenye mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM lakini wakaamua kukuchinjia baharini. Uliishiwa na subira, hukuwa na uvumilivu, above all, hukuwa na busara tena. Ulimua kujiengua ccm, liwalo na liwe. Come what may!
Watu wengi sana ndani ya CCM walikusihi usihame CCM. Uwe na busara. Uonyeshe ukomavu. Lakini wewe uliwajibu "There is life out of CCM. .. CCM sio mama yangu..." Ulikuwa ni uamuzi wa kijasiri. Na kweli ulikuwa na kila sababu ya kufanya hivyo. Kwa sababu, at this point (a point of no return) you had nothing to lose. Ulipoteza uwaziri mkuu, ukapoteza heshima ndani ya chama, ukaitwa gamba. Ukapoteza nafasi ya kuwa mgombea urais wa ccm. Bila kusahau Ulipoteza mali nyingi sana.
Uamuzi wako wa kujiunga na UKAWA niliutafasiri kwamba ulikuwa ni muda wako wa kupambana hadi tone la mwisho la damu. I knew that was your dying point. Maisha yana maana gani kwako kuendelea kuishi nchini Tanzania huku ukiwa dhalili, a loser of everything?A loner? Wakati wako wa kufa kwa heshima kama Kamanda Mawazo, naona unaisha. Utakuja kufa kifo cha aibu, kama ambavyo waoga wote hufa. Wewe ni Shujaa tangu ujana, na ulikuwa na fursa ya kufa kishujaa,umeichezea hiyo opportunity.
Angalia sasa hivi mili yetu inapoa. Ujasiri unatuyeyuka. Hasira zinashuka. Na huyu jamaa anajua. Ndiyo maana anafanya uliyotarajia kuyafanya wewe. Kila sehemu anatulenga. Hatuna budi kupoa. Sisi tuna nafasi ya kugeuza shingo, tukawa washabiki wa upande wa pili. Wewe unayo hiyo nafasi tena? Sumaye anayo? Je babu?
Kwa nini ulizembea? Ukaendekeza ustaraabu wa kikondoo wakati ulikuwa ukipambana na genge la Mafia? You were supposed to take action accordingly on the spot. Live in prison or simply die.
Busara ni nini? Busara ni uamuzi wa kusitisha kuchukua maamuzi magumu stahiki. Kwa maneno mengine ni uoga. Kwa mfano, unamfuma mke wako kitandani mwako akiliwa uroda na jamaa. Hatua stahiki ni nini hapa? Watu wenye busara(waoga) watasema ni kusamehe. Kwa sababu wanaogopa kumtimua mke. Kwa sababu wanaogopa kumwajibisha mgoni. Wanajiuliza swali la kioga "What will happen if... "
Mimi nawachukia watu wenye busara. Hawawezi kutamka kauli ya mashujaa, "Come what may=Liwalo na liwe"
Title ya thread hii nilitaka iwe, "Mh Lowassa, umeamua kuwa na busara?" Ndiyo maana mimi niliandika "NITACHUKUA KADI YA CCM October 30th"
Nawaza kwa sauti.
Kulikuwa na maana gani ya kutoka CCM kama ulijua kwamba utapoteza uchaguzi na usisabishe homa?
CCM walikudhalilisha kwa kiasi kisichomithilika. Wakakutwisha zigo la Richmond ukahiari kulibeba. Ukapigana kiume hadi Ukashinda hila zao kwenye mchakato wa kumpata mgombea urais wa CCM lakini wakaamua kukuchinjia baharini. Uliishiwa na subira, hukuwa na uvumilivu, above all, hukuwa na busara tena. Ulimua kujiengua ccm, liwalo na liwe. Come what may!
Watu wengi sana ndani ya CCM walikusihi usihame CCM. Uwe na busara. Uonyeshe ukomavu. Lakini wewe uliwajibu "There is life out of CCM. .. CCM sio mama yangu..." Ulikuwa ni uamuzi wa kijasiri. Na kweli ulikuwa na kila sababu ya kufanya hivyo. Kwa sababu, at this point (a point of no return) you had nothing to lose. Ulipoteza uwaziri mkuu, ukapoteza heshima ndani ya chama, ukaitwa gamba. Ukapoteza nafasi ya kuwa mgombea urais wa ccm. Bila kusahau Ulipoteza mali nyingi sana.
Uamuzi wako wa kujiunga na UKAWA niliutafasiri kwamba ulikuwa ni muda wako wa kupambana hadi tone la mwisho la damu. I knew that was your dying point. Maisha yana maana gani kwako kuendelea kuishi nchini Tanzania huku ukiwa dhalili, a loser of everything?A loner? Wakati wako wa kufa kwa heshima kama Kamanda Mawazo, naona unaisha. Utakuja kufa kifo cha aibu, kama ambavyo waoga wote hufa. Wewe ni Shujaa tangu ujana, na ulikuwa na fursa ya kufa kishujaa,umeichezea hiyo opportunity.
Angalia sasa hivi mili yetu inapoa. Ujasiri unatuyeyuka. Hasira zinashuka. Na huyu jamaa anajua. Ndiyo maana anafanya uliyotarajia kuyafanya wewe. Kila sehemu anatulenga. Hatuna budi kupoa. Sisi tuna nafasi ya kugeuza shingo, tukawa washabiki wa upande wa pili. Wewe unayo hiyo nafasi tena? Sumaye anayo? Je babu?
Kwa nini ulizembea? Ukaendekeza ustaraabu wa kikondoo wakati ulikuwa ukipambana na genge la Mafia? You were supposed to take action accordingly on the spot. Live in prison or simply die.
Busara ni nini? Busara ni uamuzi wa kusitisha kuchukua maamuzi magumu stahiki. Kwa maneno mengine ni uoga. Kwa mfano, unamfuma mke wako kitandani mwako akiliwa uroda na jamaa. Hatua stahiki ni nini hapa? Watu wenye busara(waoga) watasema ni kusamehe. Kwa sababu wanaogopa kumtimua mke. Kwa sababu wanaogopa kumwajibisha mgoni. Wanajiuliza swali la kioga "What will happen if... "
Mimi nawachukia watu wenye busara. Hawawezi kutamka kauli ya mashujaa, "Come what may=Liwalo na liwe"
Title ya thread hii nilitaka iwe, "Mh Lowassa, umeamua kuwa na busara?" Ndiyo maana mimi niliandika "NITACHUKUA KADI YA CCM October 30th"
Nawaza kwa sauti.