Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Mzee wa maamuzi magumu na sahihi ambaye ni mgombea urais wa CHADEMA anayeungwa mkono na umoja wa Ukawa Ndg. Edward Lowassa kasema kuanzia tarehe 27 baada ya matokeo kutangazwa TANESCO waanze kuwajibika wenyewe kama hawatashughulikia hali ya umeme ipasavyo.
Lowassa kaonyeshwa kukerwa na mgao usiokoma kwa miaka zaidi ya 10, "kila siku ni mgao, mgao, huu mgao utaisha lini? TANESCO inalalamika, serikali yenyewe inalalamika. Sasa kama serikali na Tanesco wanalalamika na kukosa majibu mnategemea wananchi wakimbilie wapi?...alisema
Ni muda mrefu sasa nchi imekubwa na mgao wa umeme, na mbaya zaidi wananchi hawajui hali hii itakoma lini. Waathirika wakubwa wamekuwa wakina mama wajasiariamali, wafugaji wa kuku, vijana wanaojihangaisha kwa kupata ujira mdogo kama vinyozi wa saloon, vijana wenye ajira za kubangaiza viwandani, mama ntilie n.k
Ni jambo la kushangaza sana kuna mgombea ambaye ni waziri mwandamizi katika serikali hii lakini amekuwa akihaidi viwanda kila wilaya sasa sijui hivyo viwanda vitatumia power bank au?...
NB: Ninapoandika huu uzi tayari umeme ushakatwa..... Kwa hakika nchi inamuhitaji Lowassa kuondoa kero kama hizi....
Lowassa kaonyeshwa kukerwa na mgao usiokoma kwa miaka zaidi ya 10, "kila siku ni mgao, mgao, huu mgao utaisha lini? TANESCO inalalamika, serikali yenyewe inalalamika. Sasa kama serikali na Tanesco wanalalamika na kukosa majibu mnategemea wananchi wakimbilie wapi?...alisema
Ni muda mrefu sasa nchi imekubwa na mgao wa umeme, na mbaya zaidi wananchi hawajui hali hii itakoma lini. Waathirika wakubwa wamekuwa wakina mama wajasiariamali, wafugaji wa kuku, vijana wanaojihangaisha kwa kupata ujira mdogo kama vinyozi wa saloon, vijana wenye ajira za kubangaiza viwandani, mama ntilie n.k
Ni jambo la kushangaza sana kuna mgombea ambaye ni waziri mwandamizi katika serikali hii lakini amekuwa akihaidi viwanda kila wilaya sasa sijui hivyo viwanda vitatumia power bank au?...
NB: Ninapoandika huu uzi tayari umeme ushakatwa..... Kwa hakika nchi inamuhitaji Lowassa kuondoa kero kama hizi....