Mkuu wa Kaya,sidhani kama Lowassa atakuwa radhi kusema ukweli wake katika hili. Ila pia bado sijaelewa ni picha gani ambayo inaendelea hapa. Ngoja tutafika tu mwisho wake maana si ndio likizo ya kuomba kazi tena wameshaianza...
PM..
a. kwanini Lowassa hakutoa hoja Bungeni siku ile asubuhi na kutaka Bunge liahirishwe ili aweze kupitia hoja za wabunge zilizotolewa jana yake na kutoa majibu?
b. Kwanini hakutoa hoja kuishutumu kamati teule kuwa haikumpa nafasi ya kujitetea na kuomba Spika ampe muda mbele ya Kamati hiyo iweze kumhoji kabla haijachukuliwa hatua nyingine?
c. Kwanini Lowassa baada ya kuona Bunge limegawanyika hakutoa utetezi wake wa kile alichokifanya/kutokifanya kuhusu Richmond na baadaye kutaka Bunge lipige kura ya kutokuwa na imani naye?
d. Kwanini licha ya kutoitwa na Kamati Teule, Lowassa hakujitetea mbele ya Bunge ambalo ndilo lilikuwa na nguvu na lina nguvu kama Kamati Teule kwa mujibu wa Kanuni za Bunge? Kwa kukataa nafasi yake ya kujitetea mbele ya Bunge (aidha kama Bunge au kama Kamati) yawezekana alijinyima yeye mwenyewe nafasi ya kujitetea aliyoiomba na kupewa?
Fisadi Mtoto sikiliza, injinia Manyanya alikuwa bado mfanyakazi wa Tanesco hata alipokuwa mbunge. Alipoingia katika kamati ya Mwakyembe ndipo alijiuzuru kazi.Kwa kweli si kila mwenye uwezo wa kuandika anapaswa kuandika hata mambo hasioyajua...huyu ni mmoja wapo.................1.Anadai hapa kuwa kuna mtu alikuwa anamlazimisha injinia manyanya apitishe memo???????????how mbunge anapitisha memo ya waziri mkuu kwa ujinga wake anadhani manyanya alikuwa ni mtendaji pale tanesco wakati wa tanesco,...........2Hajasikiliza sijui au hajaelewa maelezo kuwa ni kweli alipush mchakato uende kwa haraka kwa kuwa tishio la umeme ni kubwa lilikuwa na anaamini ulikuwa ni wajibu wake
lakini bwana EL ana roho ngumu kweli kweliWell said Mwanakijiji, hivi ndivyo nilivyokuwa najua siku zote. Huyu bwana hakuwa anatakiwa tena kwenye system. Rafiki yake alishamkinai.
bado anasimamia masuala ya richmond na anasema pasipo utata kuwa uamuzi wake wa kujiuzulu ulikuwa ni sahihi na jinsi alivyoshughulikia suala la richmond hakuna ambacho angebadilisha "hata chembe".
Mimi nimeskiliza vizuri sana mheshiwa na nilivyomuelewa ni kuwa katika mazingira tuliyokuwa nayo kipindi kile na maamuzi aliyoyachukua hali kama hali ile ingejurudia tena kwa mazingira yaleyale angechukua hatua zilezile alizochukua wakati ulewANA JF, NIMESHINDWA KUMWELEWA HUYU NDUGU KUWA ALIKUWA NA AKILI TIMAMU AU LA, NIMESHINDWA KUELEWA JINSI ANAVYOISIFIA RICHMIOND KAMA NDIYE YEYE KWELI ALISEMA KAONEWA. hABARI KAMILI, TIZAMA TBC1 SAA 2 NA NUSU USIKU HUU MAOJIANAO NA TIDO MUNDA YATARUSHWA LIVE. mLIOKO NYUMBANI TUJUZENI BAADA YA KUTAZAMA
NAJISIKIA UCHUNGU SANA .
..Lowassa is right hakutendewa haki...wekeni ushabiki kando....kauli ya Mwakyembe ya kumtaka achague mwenyewe ..wakati wanajuwa hawakumuhoji ilikuwa ya kiuonevu.....kama hawakumuhoji hawakuwa na haki ya kumuambia aamue hatima yake!!!
Lakini lazima mjue Lowassa aliokoa serikali nzima ya Kikwete kuanguka...kama angeng'ang'ania madaraka tulikuwa tunaelekea kutokea uchafuzi wa hali ya hewa.......wanamkakati wapinzani wa Kikwete ndani ya chama kwa kujua kuwa Lowassa ndie alikuwa robot ya mtandao ....lengo lao lilikuwa kuangusha serkali ya Kikwete na kufanikiwa kujiuzulu kwa Lowassa ...lengo lilikuwa ni kuidhoofisha serikali ya Kikwete......
Naafikiri Kikwete na Lowassa ...they could achieve more together than what is claimed to be achieved today.....Lowassa anamjua vema Kikwete na udhaifu wake na alikuwa akiweza vema kuziba nyufa...ndio maana ....serikali ya Kikwete iliweza kuvuka ile miaka miwili migumu ya mwanzo....na bado wakaweza kujenga shule kila kata.............
Tusiwe wachoyo wa fadhila ......kwa kikwete na lowassa...as a team...
Ukiangalia kwa sasa kikwete anapwaya kwa sababu bado PINDA Hajamudu kuelewana vema ni Kikwete kikazi..... Pinda ni conservative ....civil servant, wakati Kikwete ni chakaram....sasa ukizingatia tena Shein ana sifa kama za Pinda .....basi kidogo imeleta gap......i mean wasaidizi wa rais mpole kama JK .....wanatakiwa wawe na ushawishi mkubwa .....na nguvu ya kisiasa....
..Lowassa is right hakutendewa haki...wekeni ushabiki kando....kauli ya Mwakyembe ya kumtaka achague mwenyewe ..wakati wanajuwa hawakumuhoji ilikuwa ya kiuonevu.....kama hawakumuhoji hawakuwa na haki ya kumuambia aamue hatima yake!!!
Lakini lazima mjue Lowassa aliokoa serikali nzima ya Kikwete kuanguka...kama angeng'ang'ania madaraka tulikuwa tunaelekea kutokea uchafuzi wa hali ya hewa.......wanamkakati wapinzani wa Kikwete ndani ya chama kwa kujua kuwa Lowassa ndie alikuwa robot ya mtandao ....lengo lao lilikuwa kuangusha serkali ya Kikwete na kufanikiwa kujiuzulu kwa Lowassa ...lengo lilikuwa ni kuidhoofisha serikali ya Kikwete......
Naafikiri Kikwete na Lowassa ...they could achieve more together than what is claimed to be achieved today.....Lowassa anamjua vema Kikwete na udhaifu wake na alikuwa akiweza vema kuziba nyufa...ndio maana ....serikali ya Kikwete iliweza kuvuka ile miaka miwili migumu ya mwanzo....na bado wakaweza kujenga shule kila kata.............
Tusiwe wachoyo wa fadhila ......kwa kikwete na lowassa...as a team...
Ukiangalia kwa sasa kikwete anapwaya kwa sababu bado PINDA Hajamudu kuelewana vema ni Kikwete kikazi..... Pinda ni conservative ....civil servant, wakati Kikwete ni chakaram....sasa ukizingatia tena Shein ana sifa kama za Pinda .....basi kidogo imeleta gap......i mean wasaidizi wa rais mpole kama JK .....wanatakiwa wawe na ushawishi mkubwa .....na nguvu ya kisiasa....
Hivi ni lazima EL awe Rais ???
Si naskia ana mijisenti... awe Mjasiariamali...
Hata akiupata huo U-Rais anaoutolea macho utakuwa cursed...
Come Oct 30...
Mmasai yule! Ndo sifa za mwanaume wa kimasai kuwa mgumu na mvumilivu hata akipigwa sime au mkuki. Na alama ya nje ya ujasiri wao ni circumcision bila ganzi! Upo hapo!lakini bwana EL ana roho ngumu kweli kweli
Mmasai yule! Ndo sifa za mwanaume wa kimasai kuwa mgumu na mvumilivu hata akipigwa sime au mkuki. Na alama ya nje ya ujasiri wao ni circumcision bila ganzi! Upo hapo!
Wadau huyu mtu alipewa nafasi yakujitetea on the spot lakini aliishia kusema nimeonewa sana namedhalilishwa sana nakadhalika nakadhalika...... Sasa sisi tumueleweje? Huyu jamaa ni msanii kwa kweli. Lets wait! will see.