Wengi mtaponda lakini ukweli haufichiki. Katika viongozi Lowasa ndiye aliyeonyesha sio utendaji mzuri tu hata uwajibikaji. Waulize waliofanya kazi katika wizara enzi zake ubabaishaji haukuwepo. Njama ya kuondolewa uwaziri mkuu hata western wameshiriki kwa kiasi kikubwa kwa kuwa alokuwa kama threat katika maslai yao.