Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Waislam wa tz wanvituko! Pengo mkatoliki ajiandae kumrudisha Lowassa mlutheri? Lile gazeti ni la maamuma tu.
Nimeshtuka kuona ktk gazeti moja linajulikana kama Sauti ya waislam likiandika kwamba Gamba la CCM linalotaka kuvuliwa kwa mapacha 3 lengo kuu ni kumuondosha kabisa Rostam azizi ktk CCM na sio Lowassa.
Eti imeandika wote hao watafukuzwa lkn Lowasa atarudishwa kwa mlango wa nyuma kwa shindikizo la makanisa. Limejenga hoja yao kutokana na kauli ya Kardinal Pengo kusema kanisa halitajitenga na wathumiwa ufisadi alioitoa siku za pasaka. Gazeti hilo limejenga hoja hiyo ikimaanisha ni kutaka kumuokoa Lowassa.
Limesema Gamba la EL linatokana na kuwa karibu na muislam Rostam Azizi.
Hivi kweli Rostama amewasaidia nini waislam hadi kufikia kutetewa? au tayari fedha zake zinapenya kila sehemu? kwani niliwahi kusoma ktk gazeti moja kwamba RA akijinadi kwamba wanawe wote amewakabidhi makanisani kwa malezi ili wapate malezi mazuri na sio misikitini.
Lkn kwa kuwa limeandikwa na gazeti lilosajiliwa Hoja hii inaweza ikawa na chembe ya Ukweli SI YA KUPUUZWA
Aisee! Achana na lile gazeti, wanaonunua wana hasira zao za kimaisha, wao kujilipua si ishu!... niliwahi kusoma ktk gazeti moja kwamba RA akijinadi kwamba wanawe wote amewakabidhi makanisani kwa malezi ili wapate malezi mazuri na sio misikitini.
Rostam sio mwarabu ni Burushi wana asili ya Iran,wairan sio waarabu,burushi kidogo anaenda kwenye uhindi wako wengi pale Mbalali na Ubaruku
mawazo ya mtanzania wa kawaida, by the way ur mind need to be scanned.Ndio maana kanisa limemtuma Nchimbi afute hilo gazeti ehe!, kama havina ukweli si waende mahakamani???? Pasingekalika wapi wewe? nyie vita mnaweza au unasema tu???
Shida yao wao ni ukatoliki -soma JKN. Kuna siku humu walichachamaa wakidai Mkapa ni mkatoliki aliekuwa anapokea amri toka kwa Vatican na PengoWaislam wa tz wanvituko! Pengo mkatoliki ajiandae kumrudisha Lowassa mlutheri? Lile gazeti ni la maamuma tu.
mawazo ya wajinga ni ya muhmu sana ili uweze kujitenga nao!magazeti ya ajabu ni muhimu kuyasoma ili ujue wajinga nao wanawaza nini.
Nimeshtuka kuona ktk gazeti moja linajulikana kama Sauti ya waislam likiandika kwamba Gamba la CCM linalotaka kuvuliwa kwa mapacha 3 lengo kuu ni kumuondosha kabisa Rostam azizi ktk CCM na sio Lowassa.
Eti imeandika wote hao watafukuzwa lkn Lowasa atarudishwa kwa mlango wa nyuma kwa shindikizo la makanisa. Limejenga hoja yao kutokana na kauli ya Kardinal Pengo kusema kanisa halitajitenga na wathumiwa ufisadi alioitoa siku za pasaka. Gazeti hilo limejenga hoja hiyo ikimaanisha ni kutaka kumuokoa Lowassa.
Limesema Gamba la EL linatokana na kuwa karibu na muislam Rostam Azizi.
Hivi kweli Rostama amewasaidia nini waislam hadi kufikia kutetewa? au tayari fedha zake zinapenya kila sehemu? kwani niliwahi kusoma ktk gazeti moja kwamba RA akijinadi kwamba wanawe wote amewakabidhi makanisani kwa malezi ili wapate malezi mazuri na sio misikitini.
Lkn kwa kuwa limeandikwa na gazeti lilosajiliwa Hoja hii inaweza ikawa na chembe ya Ukweli SI YA KUPUUZWA
UPDATED.
tayari rostam hayupo. lowasa kimya. ccm kimya. jee hoja ya gazeti hilo inatimia?