Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,118
Sioni kosa kwa upinzani kuibuka na ajenda ya udikteta kama wanaona kuna viashiria vya udikteta. Kuna virusi vingi vinavyoweza kushambulia taifa na kulifanya dhaifu, ikiwa ni pamoja na ufisadi na udikteta. Kwa anayejua athari za udikteta hawezi kuushabikia. Kunyima uhuru wa mawazo ni kuzalisha kizazi kisichokuwa na uwezo wa kuhoji na kujisimamia. Watu wasio na uwezo wa kuhoji ndio wanaochangia ufisadi kwa kuingiza taifa katika mikataba mibovu. Tusipende kuzalisha Tanzania ya Maroboti, ya ndiyo mzee. Kila binadamu anaishi kwa kujifunza, kama kuna matukio ya kidikteta yanayokwaza watu watawala wetu wataelewa na kubadilika wakipewa ukweliNitaandika kwa kifupi sana.
Swali ni hili... ajenda kubwa ya upinzani ni ipi?? Jibu ni " kupambana na udikteta chini ya John Magufuli" rais wa tanzania amekuwa dikteta ambaye anaziba watu midomo. Naendelea kujiuliza huyo dikteta ni yupi ambaye anawaacha watu wamuite dikteta... ni dikteta yupi huyo ambae ukivunja sheria anakupeleka mahakaman na bado unashinda,unapewa rufaa..yaan dikteta anakuacha utafute haki Zako katika mahakama (chombo kinachosimamia haki)?? Dikteta anaziba watu midomo au anakuzima hata hiyo sauti hutoi??
Lakini bado najiuliza hivi wananchi issue ya udikteta unaclick kichwani kwa mtu ambaye ameanza kwa kufungua mahakama ya mafisadi? Mtu ambaye anarudisha nidhamu katika offisi za uma? Mtu anaepigania kufanya kazi? Kiongozi ambaye anasafisha mifumo mibovu kama elimu??
Wapinzani chonde chonde yale maisha ya kusubiri udhaifu wa serikali ndiyo mtengeneze ajenda pengine ndiyo wakati sahihi wa kuyaacha.. kila ajenda mnayopigia kelele Magufuli anaifanyia kazi.
Mlikuwa na nguvu kabla LOWASSA hajaja upinzani.. kwa zile kura alizosema mwenyekiti wa chadema mh Mbowe kamati kuuu nanukuu " makamanda kutokana na muda hatutapiga kura za siri.. wanaokubali lowassa simameni mmkunje ngumi hivi"... najiuliza katika mazingira hayo ungeweza kumkataa?? Lakini Lowassa yupo kamati kuu na vikao vyote vya juu anashiriki.. kwa katiba ipi?? Mwenyekiti wa chadema tukisema anatumia mabavu kuongoza chama kama ilivyowahi kulalamikiwa na watu kama Zitto Kabwe nitakosea???
Ukweli ni huu ajenda ya Upinzani ilikuwa ufisadi. Sasa hivi sio ajenda yao tena ndiyo maana ile list of shame wameifuta kwenye website yao ... narudia kumchukua Lowassa was a wrong move . .
Hivi hiyo september 1.. tu assume Magufuli akawaruhusu mufanye mikutano na maandamano ajenda itakuwa ipi??? Udikteta?? Yaani upo kwenye mikutano na unahojiwa kabisa na tv unasema hii nchi rais anaziba watu midomo... nasononeka upinzani unakufa haraka tofauti na nlivyofikiri.
Mnapofanya siasa, angalia zaidi mtanzania wa kawaida, je kwake udikteta ni suala la msingi kwake? (kama upo) maana mimi ukiniita hayo majina nakuonyesha rangi halisi ya udikteta.
Kama mbowe aliamua kutusaliti kwa kumleta mtu tuliyempinga zaidi ya miaka saba kwamba ni fisadi, mwizi na shida tulizonazo watanzania na yeye kasababisha, bado tunaona sawa tu, kama mbowe ndo kila kitu kwenye chama chetu, bado tunaona hiyo ndo demokrasia, basi mimi naomba nisiwe na nyinyi
Sasa hivi hatuna agenda, tumeachana na ajenda ya ufisadi, kwa sababu fisadi mkuu yupo chumbani kwetu! Hatuaminiki tena!
Ni bora tuandamane kuipongeza serikali kwa kuifanyia kazi ajenda yetu ya ufisadi tuliyoikimbia, LA sivyo tutegemee anguko kubwa la UPINZANI
Mimi ni mtoto wa Magufuli. Zamani nilikuwa wa drwewe ni mtoto wa mbowe?mybe
swissme
wamshitaki yambumburuke na mengine yaliyojificha? Never wataishia tu kubwabwaja kwamba Lowassa fisadi ila mahakamani hafikishwi.
Nyinyi CCM ajenda yenu ni IPI?? Kipaumbele chenu ni kipi ?
View attachment 378262 View attachment 378266
Vipi hawa utawafanyaje?utawafungua kama Lowassa akifungwa.
swissme
uchaguzi gan wenye mafanikio kwa upinzMnapofanya siasa, angalia zaidi mtanzania wa kawaida, je kwake udikteta ni suala la msingi kwake? (kama upo) maana mimi ukiniita hayo majina nakuonyesha rangi halisi ya udikteta.
Kama mbowe aliamua kutusaliti kwa kumleta mtu tuliyempinga zaidi ya miaka saba kwamba ni fisadi, mwizi na shida tulizonazo watanzania na yeye kasababisha, bado tunaona sawa tu, kama mbowe ndo kila kitu kwenye chama chetu, bado tunaona hiyo ndo demokrasia, basi mimi naomba nisiwe na nyinyi
Sasa hivi hatuna agenda, tumeachana na ajenda ya ufisadi, kwa sababu fisadi mkuu yupo chumbani kwetu! Hatuaminiki tena!
Ni bora tuandamane kuipongeza serikali kwa kuifanyia kazi ajenda yetu ya ufisadi tuliyoikimbia, LA sivyo tutegemee anguko kubwa la UPINZANI
Chadema sio mchana cha warembo wala lino international mvuto peleka copa cabanaLowasa amesababisha CHADEMA ikose mvuto
Sasa zile kura milioni sita iliyosema tume zilitoka wapi? Kwani waliompigia Lowasa hawakuwa wamewasikia na propaganda zenu za ufisadi?Lowasa amesababisha CHADEMA ikose mvuto
Na hawa Lumumba wanadhani kuitwa dikteta uchwara ni tusi?Hujaelewa, Sio dikteta ila dikteta uchwara
Lowasa amesababisha CHADEMA ikose mvuto
Inaonekana huyu mtu ana "mahaba" ya watu na wengine hawawezi hata kujizuia bila ya kumsema au kumtaja. Kama unataka akurudishie mahaba mpikie mkate wa mayai umpelekee. Usipate shida ya kuandika makala ya hadithi hiyo hiyo tu. Mara Lowassa ... handsome...Lowassa namchukia....Lowassa ana mahaba.... basi Lowassa Lowassa tu.Nitaandika kwa kifupi sana.
Swali ni hili... ajenda kubwa ya upinzani ni ipi?? Jibu ni " kupambana na udikteta chini ya John Magufuli" rais wa tanzania amekuwa dikteta ambaye anaziba watu midomo. Naendelea kujiuliza huyo dikteta ni yupi ambaye anawaacha watu wamuite dikteta... ni dikteta yupi huyo ambae ukivunja sheria anakupeleka mahakaman na bado unashinda,unapewa rufaa..yaan dikteta anakuacha utafute haki Zako katika mahakama (chombo kinachosimamia haki)?? Dikteta anaziba watu midomo au anakuzima hata hiyo sauti hutoi??
Lakini bado najiuliza hivi wananchi issue ya udikteta unaclick kichwani kwa mtu ambaye ameanza kwa kufungua mahakama ya mafisadi? Mtu ambaye anarudisha nidhamu katika offisi za uma? Mtu anaepigania kufanya kazi? Kiongozi ambaye anasafisha mifumo mibovu kama elimu??
Wapinzani chonde chonde yale maisha ya kusubiri udhaifu wa serikali ndiyo mtengeneze ajenda pengine ndiyo wakati sahihi wa kuyaacha.. kila ajenda mnayopigia kelele Magufuli anaifanyia kazi.
Mlikuwa na nguvu kabla LOWASSA hajaja upinzani.. kwa zile kura alizosema mwenyekiti wa chadema mh Mbowe kamati kuuu nanukuu " makamanda kutokana na muda hatutapiga kura za siri.. wanaokubali lowassa simameni mmkunje ngumi hivi"... najiuliza katika mazingira hayo ungeweza kumkataa?? Lakini Lowassa yupo kamati kuu na vikao vyote vya juu anashiriki.. kwa katiba ipi?? Mwenyekiti wa chadema tukisema anatumia mabavu kuongoza chama kama ilivyowahi kulalamikiwa na watu kama Zitto Kabwe nitakosea???
Ukweli ni huu ajenda ya Upinzani ilikuwa ufisadi. Sasa hivi sio ajenda yao tena ndiyo maana ile list of shame wameifuta kwenye website yao ... narudia kumchukua Lowassa was a wrong move . .
Hivi hiyo september 1.. tu assume Magufuli akawaruhusu mufanye mikutano na maandamano ajenda itakuwa ipi??? Udikteta?? Yaani upo kwenye mikutano na unahojiwa kabisa na tv unasema hii nchi rais anaziba watu midomo... nasononeka upinzani unakufa haraka tofauti na nlivyofikiri.
Umeelewa nilichoandika?uchaguzi gan wenye mafanikio kwa upinz
Umesema vemaHuyu Lowassa naomba mumshitaki kwa ufisadi maana imekuwa kero.
Ni upumbavu mtu kuwa fisadi na ushahidi mnao mnaishia kulalamika.
Mi sina chama but naona kila mwanasiasa akitafuta umaarufu anapita kwa kick za lowasa.
Mfungeni kama hamna ushidi kaeni kimya