Lowassa ni kipenzi cha Watanzania

Lowassa ni kipenzi cha Watanzania

Mssassou

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
1,537
Reaction score
597
Kumfananisha Lowassa na Magufuli ni kumvunjia Lowassa heshima.Lowassa ni mtu wa vitendo,mchamungu,mpenda haki ukimnyima anaitafuta,anauchukia umasikini wa watanzania na anapendwa na asilimia 90 ya watanzania.Sifa hizo Magufuli hana na kama anazo ni basi ni chache mno ambazo hazimfikii Lowassa.Kuhusu RICHMOND alishasema maagizo yametoka juu.
 
Mie nawashangaa sana hawa wanafiki wasiompenda Lowassa,eti fisadi kawafisidi nini? muacheni mmasai wa watu atimize ndoto yake
 
LOWASSA_na_UKAWA_pekee_wataleta_neema_nchi_hii.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni Mtanzania , Lowassa si kipenzi changu , Samahani sana ! :behindsofa:
 
LOWASSA watanzania wanamuelewa na wanajua ufanisi wake isingekuwa lowassa mwenyekiti angefanyia wapi mkutano wake jana na yale maneno yake ya kuhudhi "ukawa ni moto wa mabua'' leo uwanja wa mnazi mmoja ungekuwa ni mali ya muhindi mda huu lowassa anajiesabia kura za
1 wafuasi wake binafsi
2 wafuasi wa cuf,chadema,nccr mageuzi,NLD
3 kura za wafuasi wa ccm ambao wameshindwa kujitokeza mda huu kwa kulinda ugali wao ccm
4 kura za huruma kwan kura hizi ni muhimu sana na master mind wa kura za namna hii ni mwenyekiti sasa na lowassa atazipata kwani wengi wanaamini alionewa pale dodoma
 
Mimi ni Mtanzania , Lowassa si kipenzi changu , Samahani sana ! :behindsofa:
Uko sahihi kabisa mkuu! Wewe ni miongoni mwa wale wanaotimiza asilimia 10 ya wasiompenda Lowassa!
Mimi ni mmoja kati ya wengi wenye matumaini na Lowassa.
 
LOWASA, LOWASA, LOWASA ndivyo ninavyoweza kusema maana nilikuwa naye ccm ametoka na nimefuatana naye mpaka kieleweke.... Ninaamini bado ana kura nyingi sana kwa wana ccm wenyewe ambao bado hawajaingia rasmi njia kuu... Huyo ndiye Tumaini letu na ndilo chaguo letu....
 
lowassa ndio habar ya mjini na vijijini .
lowassa ni sawa na maji uspoyapikia utayanywa na uspoyanywa utayaogea na uspoyaogea yatakusomba.gonga like kwangu wadau.
 
Enzi zake akiwa serekalini ofisini kwetu tulimtambua LOWASA kwa jina la "ninaagiza" anafaa kuwa kiongozi anasimamia anachokisema
 
kipenzi chako ww, tena kaa kimyaa! acha kuwasemea na watu wengine. km unampenda wewe go ahead
 
Lowassa ni kipenzi cha Watanzania. Namshangaa Nape na matamshi yake.
 
1439872592022.jpg 1439872608976.jpg 1439872627177.jpg 1439872651883.jpg 1439872770019.jpg 1439872770019.jpg 1439872770019.jpg MWENYE MACHO HAAMBIW ONA October 25 kitaeleweka
 
Back
Top Bottom