Lowassa Ndani ya Mbeya mchana huu

Lowassa Ndani ya Mbeya mchana huu

Whisper

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2009
Posts
502
Reaction score
207
Mbunge wa Monduli EL amewasili mchana huu jijini hapa kwa ndege ya kukodi ya Tanzair. Bado anapata ulinzi wa kutosha toka kwa serikali yetu kama kawaida na mchana huu amekwenda Tunduma kufanya huduma ya Mungu kama kawaida yake. Amealikwa na kanisa moja kwa ajili ya fundrising na kuna tetesi kuwa hata kanisa la Moravian limemwalika kwa fundrising ya upanuzi wa chuo kikuu cha TEKU.

Mzee karibu sana Mbeya yetu wana peoples Power na bila shaka umeona jinsi gani kijana wako Millya alivyochagua fungu jema.
 
Tunakutakia kazi njema. Urudi salama. Pitia Mbeya ukautubie kidogo labda watabadilika.
 
Yeye aendelee kutoa hizo pesa chafu lakini kamwe hatakaa apate chochote
 
Eti huyu nae ni mbunge ..yani BUNGE linaendelea yeye anazurura as if BUNGE limeisha....nadhani kuna haja ya CDM kuchukua hili jimbo kwani kwani ubunge umekwisha mshinda huyu jamaa na sasa kajiajiri ktk mitaji yake mingine
 
mbunge wa monduli el amewasili mchana huu jijini hapa kwa ndege ya kukodi ya tanzair. Bado anapata ulinzi wa kutosha toka kwa serikali yetu kama kawaida na mchana huu amekwenda tunduma kufanya huduma ya mungu kama kawaida yake. Amealikwa na kanisa moja kwa ajili ya fundrising na kuna tetesi kuwa hata kanisa la moravian limemwalika kwa fundrising ya upanuzi wa chuo kikuu cha teku.

Mzee karibu sana mbeya yetu wana peoples power na bila shaka umeona jinsi gani kijana wako millya alivyochagua fungu jema.

huyu fisadi hatuwezi kumunyima haki ya kiroho kama harakati zake hizi zinaendana na kutubia uovu wenye athali za kimaangamizi kwa taifa. Hata hivyo baada ya kutubu anatakiwa akae kwenye kipindi cha maangalizi kisicho pungua miaka mitano. Kwa maana kuwa ktk miaka mitano asishiriki wala kutuhumiwa kwa ufisadi. Zaidi ya yote aachane kabisa na ndoto za kuwa raisi wa nchi hii. Napenda kuwakumbusha watanzania wenzangu kuwa sumu ni sumu haijarishi imo ndani ya chupa ndogo au imo kwenye pipa. Sumu haionjwi!!!! Ukiambiwa kuwa hii ni sumu halafu wewe ukasema ngoja nionje nione basi wewe lazima uwe hamnazo.
 
Kweli siku za mwisho watu watakuwa ni wenye kupenda pesa kuliko kumpenda Mungu
Mbunge wa Monduli EL amewasili mchana huu jijini hapa kwa ndege ya kukodi ya Tanzair. Bado anapata ulinzi wa kutosha toka kwa serikali yetu kama kawaida na mchana huu amekwenda Tunduma kufanya huduma ya Mungu kama kawaida yake. Amealikwa na kanisa moja kwa ajili ya fundrising na kuna tetesi kuwa hata kanisa la Moravian limemwalika kwa fundrising ya upanuzi wa chuo kikuu cha TEKU.

Mzee karibu sana Mbeya yetu wana peoples Power na bila shaka umeona jinsi gani kijana wako Millya alivyochagua fungu jema.
 
karibu mbeya baba

Ukirudi pitia hapa docs (mwanjelwa) utusalimie vijana wako wa jua kali. Njoo utusimulie hadithi yako uipendayo ya ukosefu wa ajira ni Timing bomb.
 
Wana jf huyu fisadi wakumuangalia kwa macho ya ndani,anajua afanyalo humo makanisani. Nashangaa nayo makanisa kupokea pesa chafu huku wakijua. kweli siku hizi watu wamemuacha Mungu wa kweli wamemfuata mungu wa uongo(Pesa)
 
Is he running for president come 2012? Why is he attending many activities?
 
Msihuku msije hukumiwa nyinyi hukumu ni kazi ya mungu mwenye enzi sio nyie kina tomaso
 
Jumatatu April 23, kwenye kipindi cha Tuongee Asubuhi Star Tv kuna mjadala kuhusu Sheria zinazohusu umilikaji wa silaha nchini.

Karibu
 
Mbunge wa Monduli EL amewasili mchana huu jijini hapa kwa ndege ya kukodi ya Tanzair. Bado anapata ulinzi wa kutosha toka kwa serikali yetu kama kawaida na mchana huu amekwenda Tunduma kufanya huduma ya Mungu kama kawaida yake. Amealikwa na kanisa moja kwa ajili ya fundrising na kuna tetesi kuwa hata kanisa la Moravian limemwalika kwa fundrising ya upanuzi wa chuo kikuu cha TEKU.

Mzee karibu sana Mbeya yetu wana peoples Power na bila shaka umeona jinsi gani kijana wako Millya alivyochagua fungu jema.
Mh. Lowassa ni kiongozi mcha Mungu sana. Long live Lowassa.
 
Back
Top Bottom