mwanabayaya el chapo
Member
- Jul 20, 2016
- 83
- 30
Walisemaaaa
Wewe mtoa mada lini wamekukata mkia na kukuingiza kwenye zizi la ng'ombe?, mimi nakujua wewe ni ukawa, au kuna mtu anachezea akaunti yako
View attachment 394510
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho sijawai kiona kokote Duniani!!
Kama kuna mtu alishaona hii kitu kokote duniani aseme!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
Hujawahi ona ujerumani na Israel vyama huungana kuunda serikali baada ya uchaguzi kwisha? We umekariri muundo wa vyama vya Tanzania tu? Mbona Malawi rais aliunda chama chake na kukiacha chama kilichomwingiza madarakani? Soma international news upate kujua mamboView attachment 394510
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho sijawai kiona kokote Duniani!!
Kama kuna mtu alishaona hii kitu kokote duniani aseme!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
Nayajua hayo lakini sio jambo la kujivunia hata kidogoHujawahi ona ujerumani na Israel vyama huungana kuunda serikali baada ya uchaguzi kwisha? We umekariri muundo wa vyama vya Tanzania tu? Mbona Malawi rais aliunda chama chake na kukiacha chama kilichomwingiza madarakani? Soma international news upate kujua mambo
CCM wanajua kufanya hivyo itakuwa kujipalia makaa wacha iwe hivi hivi kuungana kwa tamthiliya.Utaratibu mzuri kuwa na muungano wa vyama vingi . Sheria zao zinaruhusu na ni utaratibu mzuri kuunganisha watu wenye ukabila mbele.
Hata hapa kwetu inatakiwa sheria zibadilishwe ili vyama viweze kuungana official kwa ajili ya uchaguzi
Kwani kaalikwa?Chuki itakuua wewe unataka aitwe Magufuli?
Kwani kaalikwa?
Ukiwaza kama ccm utashindwa waza kama mtanzaniaView attachment 394510
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho nakiona!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?
View attachment 394510
Baada ya kuona mwaliko wa Edward Lowassa kwenye Uzinduzi wa chama kipya nchini Kenya cha Jubilee Party hapo jumamosi tarehe 9 September nimejiuliza maswali mengi sana bila kupata majipu!!
1: Hivi ni nchi gani Dunia ambayo ilishawai kufanya kitendo ambacho Kenya wanakifanya cha Kutengeneza chama ndani ya chama wakati hivyo vyama unavyovivunja ndivyo unavitumia kutawala?
2: Rais aliyepo madarakani kuanzisha chama kipya cha siasa ambacho atakitumia katika uchaguzi ujao hiki nacho ni kituko kingine ambacho nakiona!
3: Lowassa anaalikwa kwenda kwenye uzinduzi huo kama nani hasa
Mimi ninavyojua waalikwa uwa ni Mwenyekiti wa chama ,Karibu wa chama, Au kiongozi mkuu wa chama ( Chifu)
3: Sasa huyu ndugu yetu Lowassa anaenda kama nani huko ni mjumbe tu wa Kamati kuu anaenda kukiwakilisha chama tena nje ya nchi?
4: Sasa kwa nini tusiamini Maneno kwamba Lowassa aliinunua chadema?