Mkuu. We ni Nyani Ngabu kweli au una bifu na Nyani Ngabu? Naona tangu juzi umekazana kweli na comment hii hii. Samahani kama nimekukwaza lakini nauliza kwani naona umejifunga kibwebwe kuhakikisha watu wanafahamu kuwa Nyani Ngabu ndiye Richard Mugizi. Kuna ulazima wa kufanya hivyo?
tatizo lako wewe unafikiri kwa kutumia makalio, kichwani umejaa nnya ndio maana unaongea uwoto wa mchana. press ile wengine tulikuwepo, hakutamka kuwa anawachukia masikini, bali anachukia umasikini, sawa wewe unatoka na uharo wako hapa unaongea kama umeshikishwa ukuta, sema tukuvalishe pampasi kama ushatolewa bikira.
Hicho kichwa cha habari ni chako,Sio alivyosema lowassa mm pia nilimsikiliza alisema, nanukuu,Mm ninachukia umaskini.Na sio kama ulivyoweka wwe heading yako.kajipange upya