Lowassa na wapambe wake watoweka Dodoma

mzee atakufa na presha ametumia mabilioni na bado goma limebuma
 
Kimbisa na sophia wamekuja mkutanoni..kaka nchimbi kagoma nafikiri yuko na kingunge wanatafakari wanarudi vipi kundini...

Sofia simba yupo.warudi kivip wewe,subiri tusikie mzee anasema nini?
 
Wakina nchimbi walijitoa mhanga kweli siasa inabidi usome mchezo mapema ukiona jambazi ana bunduki we una rungu tupa rungu ukimbie au ujiunge na jambazi umsaidie kupakia alichoiba

Alilolipanga Mungu mwanadamu hawezi pangua... Na bado mafisadi mpaka wakae chini!

Nilishawaambia mapema wajiandae kwa surprises wakadhani ni kama kawaida.... The power hand is changed its a new era Tanzania njema kuzaliwa ni must.
 

lowasa alikaa pale jana kwa heshima za wanec wajumbe wote wa halmashaur kuu na wale cc walikaa mbele kama walivyokaa akina jelly silaa nawengine
 
mzee atakufa na presha ametumia mabilioni na bado goma limebuma

Hivi hili neno Mapinduzi Daima lina maana gani CCM hasa make naona hili ndo limetimia kwa mafisadi na limekuwa linarudiwa sana sana kwenye vikao vyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…