Lowassa na upinzani wangefanya zaidi ya Magufuli na CCM

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,356
16,379
Kuna msemo unasema kumfukuza uliemkuta ni rahisi kuliko kumfukuza uliemweka wewe kwa kua ulimteua kwa ajili ya kulipa fadhila za kukupigia kampeni.

Anachofanya Magufuli ni kutoa wa zamani na kuweka wake ili kile atakachofanya kifanikiwe zaidi lakini anasahau ni watu walewale kutoka chama kilekile.

Mpaka sasa hajatekeleza ahadi yoyote ukiacha kufuta ada na michango mbalimbali anachofanya ni kutumbua vijipu tu na kutumbua vijipu na kutimiza ahadi ni jambo jingine.

Kama ni Lowassa na upinzani ungekuta JK na mkapa kesi zao zimaunguruma mahakamani kwa kuitia hasara nchi huku wakiwa wanajua kinachoendelea.
 
Chama kupitia Kinana na Nape kilisema Maghembe Mh. ni mzigo.Mh.Rais kamteua Maghembe kuwa Waziri na Nape pia.Nini maoni yako....Kinana hafai.....Nape kahujumu chama...Magufuli hayuko bega kwa bega na chama....nk..nk...hebu changia bila matusi
 
Ndio ukweli wemyewe
Tatizo la Tanzania ni Mfumo uliopo
Madudu ya Bandarini Raisi alitakiwa apelekwe mahakamani kwa kutosimamia nchi vizuri
 
Wachagga mna mambo kweli. Yaani mkipenda chongo sharti muite Makengeza. Liwasa angefanya vizuri katika kuwaibia watanzania na si kama ulivyoandika
 
Baadhi yenu tumewastiri, mlichafua mazingira wakati wa kampeini ndo maana kwa mara ya kwanza KIPINDUPINDU imesambaa mikoa mingi tangu mwezi Sept, 2015
 
Kuna msemo unasema kumfukuza uliemkuta ni rahisi kuliko kumfukuza uliemweka wewe kwa kua ulimteua kwa ajili ya kulipa fadhila za kukupigia kampeni.

Anachofanya Magufuli ni kutoa wa zamani na kuweka wake ili kile atakachofanya kifanikiwe zaidi lakini anasahau ni watu walewale kutoka chama kilekile.

Mpaka sasa hajatekeleza ahadi yoyote ukiacha kufuta ada na michango mbalimbali anachofanya ni kutumbua vijipu tu na kutumbua vijipu na kutimiza ahadi ni jambo jingine.

Kama ni Lowassa na upinzani ungekuta JK na mkapa kesi zao zimaunguruma mahakamani kwa kuitia hasara nchi huku wakiwa wanajua kinachoendelea.
Korogo korogaaaa*100...mabalalikooooooo!!!!!....nini...babu seya..ntamtooa...balali...ntamleta....rafiki zangu..madini makubwa na madogo ntawapa wawekezaji....chagua mimi na madiwani na wabunge wa ccm!...mengine kwenye website!
 
Lowasa angefanya nn? Wakat leenyew ndio jambaz sugu? Ngoja ifunguliwe mahakama ya majiz lowasa haponi
 
Kuna msemo unasema kumfukuza uliemkuta ni rahisi kuliko kumfukuza uliemweka wewe kwa kua ulimteua kwa ajili ya kulipa fadhila za kukupigia kampeni.

Anachofanya Magufuli ni kutoa wa zamani na kuweka wake ili kile atakachofanya kifanikiwe zaidi lakini anasahau ni watu walewale kutoka chama kilekile.

Mpaka sasa hajatekeleza ahadi yoyote ukiacha kufuta ada na michango mbalimbali anachofanya ni kutumbua vijipu tu na kutumbua vijipu na kutimiza ahadi ni jambo jingine.

Kama ni Lowassa na upinzani ungekuta JK na mkapa kesi zao zimaunguruma mahakamani kwa kuitia hasara nchi huku wakiwa wanajua kinachoendelea.
JINA LAKO LINAONESHA ULIVYO NA CHUKI KWA SERIKALI YA JPM BAADA YA "MKASKAZINI" KUSHINDWA UCHAGUZI. ACHA CHUKI KWA KUJIFANYA HUONI KINACHOFANYIKA NDUGU! SUMAYE ALISHASEMA KWAMBA ALIAMUA KUJIUNGA UKAWA BAADA YA KUONA HAKUNA MWENYE UZOEFU WA KUONGOZA NCHI HUKO UKAWA. SASA WANGEFANYAJE ZAIDI YA SERIKALI YA JPM NA CCM WENYE UZOEFU WA KABLA WEWE HUJAZALIWA??????????????
 
Tuwe seriously kidogo, hiv kama Lowasa alipewa nafasi ya kuteua viti maalumu akamchagua mtu kutoka CCM kweli angefanya mambo makubwa au tungeona mafuriko ya watu wa CCM wakienda Chadema kupata vyeo kupitia Lowasa...? Sophia Simba na Nchimbi sasa wangekuwa Chadema wakipewa vyeo vikubwa tu. Kama hiyo haitoshi M/kiti wa Chama Taifa ndg Freeman Aikel Mbowe alipendekeza Regina Lowasa apewe ubunge wa viti maalum kweli jamani ina maana mtu kuingia kwenye ndani miezi miwili tu apewe ubunge kisa mke wa aliyekuwa mgombea Urais...?
Hivi ni kweli mnaamini kuwa Chadema kura walizopata ni kwa sababu ya Lowasa na kushindwa kutambua kuwa ulikuwa muunganiko wa vyama vinne..?
 
Kuna msemo unasema kumfukuza uliemkuta ni rahisi kuliko kumfukuza uliemweka wewe kwa kua ulimteua kwa ajili ya kulipa fadhila za kukupigia kampeni.

Anachofanya Magufuli ni kutoa wa zamani na kuweka wake ili kile atakachofanya kifanikiwe zaidi lakini anasahau ni watu walewale kutoka chama kilekile.

Mpaka sasa hajatekeleza ahadi yoyote ukiacha kufuta ada na michango mbalimbali anachofanya ni kutumbua vijipu tu na kutumbua vijipu na kutimiza ahadi ni jambo jingine.

Kama ni Lowassa na upinzani ungekuta JK na mkapa kesi zao zimaunguruma mahakamani kwa kuitia hasara nchi huku wakiwa wanajua kinachoendelea.
Aisee wewe unamatatizo makubwa. Wengi waliofukuzwa ni kutokana na ripoti ya cag au ushahidi mwingine usiotiliwa shaka mfano makontena kutolewa bila ushuru. Wewe unakuja hapa kwamba magufuli anatoa wa kikwete na kuweka wakwake. Anyway sishangai. Wanaotumbuliwa wana ndugu na jamaa na ni lazima walalame.
 
Mi sioni tofauti iliopo kati ya miezi 8 iliopita na sasa hivi matajiri wameendelea kua matajiri na maskini ameendelea kua maskini
Huu msemo sometimes hauna maana hapa kazi tu ipi sasa je umaskini umepungua bei za bidhaa zimepungua hata ile saruji ya dangote tuliyoambiwa 8000 hivi sasa ni 13000 yaani ni ziro to ziro tunadanganywa na kutumbua vijipu tu
 
Lowasa angefanya nn? Wakat leenyew ndio jambaz sugu? Ngoja ifunguliwe mahakama ya majiz lowasa haponi
ila jamani jaribuni sana kumweshimu mungu kwa kujiepusha na kusema uwongo kukosoa kwa ujasiri kile ambacho unauhakika nacho na mungu atakuwa upande wako ila kama sii ukweli jaribu kuwa na misemo ya staha
 
Kuna msemo unasema kumfukuza uliemkuta ni rahisi kuliko kumfukuza uliemweka wewe kwa kua ulimteua kwa ajili ya kulipa fadhila za kukupigia kampeni.

Anachofanya Magufuli ni kutoa wa zamani na kuweka wake ili kile atakachofanya kifanikiwe zaidi lakini anasahau ni watu walewale kutoka chama kilekile.

Mpaka sasa hajatekeleza ahadi yoyote ukiacha kufuta ada na michango mbalimbali anachofanya ni kutumbua vijipu tu na kutumbua vijipu na kutimiza ahadi ni jambo jingine.

Kama ni Lowassa na upinzani ungekuta JK na mkapa kesi zao zimaunguruma mahakamani kwa kuitia hasara nchi huku wakiwa wanajua kinachoendelea.
Yereuwiiii!
 
Mpaka sasa hajatekeleza ahadi yoyote ukiacha kufuta ada na michango mbalimbali anachofanya ni kutumbua vijipu tu na kutumbua vijipu na kutimiza ahadi ni jambo jingine.
.

Wow! Mtu mwingine huyu Stupid kama Tundu Lisu, anategemea Raisi aliyekaa madarakani kwa muda wa miezi mitata awe ametimiza ahadi alizoziahidi!
 
Back
Top Bottom