Lowassa na Sumaye wawe funzo kwa Nape Nnauye

Lowassa na Sumaye wawe funzo kwa Nape Nnauye

Joined
Oct 3, 2016
Posts
95
Reaction score
71
------------------------
Pengine Zama za Kina Augustine Lyatonga Mrema, kuhama kutoka CCM kwenda Upinzani (NCCR MAGEUZI) ni zamani Sana kiasi cha vijana wa umri wangu na Nape kukumbuka sawasawa.

Lakini inatosha kusema kwamba Mrema hakuwa mtu Mdogo ndani ya Serikali ya CCM

Mrema amepata kuwa na nafasi kadhaa za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania,

Mrema amekuwa Waziri wa Kazi, Mrema amekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mrema amewahi mpaka kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakijawahi kuwepo ndani ya katiba ya nchi hii.

Kwa waliomshuhudia Mrema akipigiwa Saluti na Viongozi wa Polisi, akisafishiwa barabara ili apite kuwahi majukumu hakuna aliyeamini kama mrema angeweza kwenda upinzani.

Sio tu hakuna aliyeamini kwamba Mrema atahama CCM, Lakini zaidi hakuna aliyewahi kuwaza kuwa mrema angekuja siku moja kupigwa mabomu ya machozi na Polisi aliowaongoza kama waziri wake Kwa ufanisi mkubwa.

Tuachane na Mrema, si tunasema ya kale hayanuki? .

Juzi hapa yametokea mambo mengine yanayopaswa kuwa FUNZO kubwa Kwa wanasiasa vijana hasa waliopo madarakani hivi Sasa kupitia CCM.

Edward LOWASSA Kwa Sasa anaweza kuwa ndiye Mtanzania maarufu kuliko wote hapa nchini,

LOWASSA amekulia CCM, LOWASSA amelelewa CCM.

LOWASSA amekuwa mkurugenzi wa Taasisi za serikali,

LOWASSA amekuwa Mbunge wa CCM,
LOWASSA amekuwa Naibu waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri Mkuu wa serikali ya CCM,

Lakini LOWASSA Leo si mwanachama wa CCM.

LOWASSA Leo Sio tena mwanamkakati wa Chama cha mapinduzi. Sasa hivi miongoni mwa maadui wa kisiasa wa CCM basi ni Edward LOWASSA.

Zipo sheria nzuri alizoshiriki kuzitunga LOWASSA akiwa waziri na mwana CCM,

Zipo sheria mbaya ambazo LOWASSA ameshiriki kuzitunga akiwa CCM,

Japokwamba zote hizi alishiriki kuzitunga akiamini anakipigania Chama chake, Leo Sio MWANA CCM tena.

Leo hapigiwi tena ving'ora na Leo akifanya mchezo tu anakamatwa na Polisi kama anavyokamatwa Mbowe wa Chadema na Mchange wa Act.

Sio LOWASSA tu, Fredrick Turway SUMAYE halikadharika, yeye tofauti na LOWASSA, SUMAYE amekuwa waziri Mkuu Kwa miaka 10 mfululizo Lakini Leo si mwana CCM tena na hata sheria alizoshiriki kuzitunga zikipigiwa kelele na wapinzani anaziona zikimminya na yeye.

Sisi kama vijana lazima tujifunze Kwa wanasiasa hawa wakubwa waliotutangulia.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo lazima wajue kuwa Kuna kesho.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kuwa *Politics is Dynamic* siasa hubadilika.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kabla ya wao kuwepo Leo Kuna wenzao walikuwepo katika nafasi hizo na hivi Sasa hawapo na hata wao hawatakuwepo milele humo.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo ni lazima wajue kwamba hatutungi sheria Kwa mahitaji yetu ya Leo, hatutungi sheria kudhibiti ama kusimamia ama kunyoosha jambo Kwa Leo tu, bali sheria inatungwa Kwa ajili ya Leo, kesho Kwa watoto wake na keshokutwa Kwa wajukuu zake.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini lazima ajifunze kwamba yeye bado ni kijana na hivyo bado ana kesho nyingi, nyingi nyingi zaidi.

Lazima ajifunze kutokufanya jambo la kumfurahisha yeye tu, zaidi litakaloishi Kwa matumizi ya vizazi vyetu.

Tuwatumie wanasiasa waliotutangulia kama kioo chetu cha kujitabiria kesho zetu

Tuwaangalie kina LOWASSA kama walimu wa kweli wa somo la siasa, somo linalosema Kwenye siasa lolote linaweza kutokea.

Nani aliwahi kufikiri Mzee Kingunge Angewahi kuihama CCM Leo? . Nani anaweza kusema alitabiri hili? ..

Naomba niishie hapa Kwa Leo.

Ndimi
Habib Mchange.
 
------------------------
Pengine Zama za Kina Augustine Lyatonga Mrema, kuhama kutoka CCM kwenda Upinzani (NCCR MAGEUZI) ni zamani Sana kiasi cha vijana wa umri wangu na Nape kukumbuka sawasawa.

Lakini inatosha kusema kwamba Mrema hakuwa mtu Mdogo ndani ya Serikali ya CCM

Mrema amepata kuwa na nafasi kadhaa za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania,

Mrema amekuwa Waziri wa Kazi, Mrema amekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mrema amewahi mpaka kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakijawahi kuwepo ndani ya katiba ya nchi hii.

Kwa waliomshuhudia Mrema akipigiwa Saluti na Viongozi wa Polisi, akisafishiwa barabara ili apite kuwahi majukumu hakuna aliyeamini kama mrema angeweza kwenda upinzani.

Sio tu hakuna aliyeamini kwamba Mrema atahama CCM, Lakini zaidi hakuna aliyewahi kuwaza kuwa mrema angekuja siku moja kupigwa mabomu ya machozi na Polisi aliowaongoza kama waziri wake Kwa ufanisi mkubwa.

Tuachane na Mrema, si tunasema ya kale hayanuki? .

Juzi hapa yametokea mambo mengine yanayopaswa kuwa FUNZO kubwa Kwa wanasiasa vijana hasa waliopo madarakani hivi Sasa kupitia CCM.

Edward LOWASSA Kwa Sasa anaweza kuwa ndiye Mtanzania maarufu kuliko wote hapa nchini,

LOWASSA amekulia CCM, LOWASSA amelelewa CCM.

LOWASSA amekuwa mkurugenzi wa Taasisi za serikali,

LOWASSA amekuwa Mbunge wa CCM,
LOWASSA amekuwa Naibu waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri Mkuu wa serikali ya CCM,

Lakini LOWASSA Leo si mwanachama wa CCM.

LOWASSA Leo Sio tena mwanamkakati wa Chama cha mapinduzi. Sasa hivi miongoni mwa maadui wa kisiasa wa CCM basi ni Edward LOWASSA.

Zipo sheria nzuri alizoshiriki kuzitunga LOWASSA akiwa waziri na mwana CCM,

Zipo sheria mbaya ambazo LOWASSA ameshiriki kuzitunga akiwa CCM,

Japokwamba zote hizi alishiriki kuzitunga akiamini anakipigania Chama chake, Leo Sio MWANA CCM tena.

Leo hapigiwi tena ving'ora na Leo akifanya mchezo tu anakamatwa na Polisi kama anavyokamatwa Mbowe wa Chadema na Mchange wa Act.

Sio LOWASSA tu, Fredrick Turway SUMAYE halikadharika, yeye tofauti na LOWASSA, SUMAYE amekuwa waziri Mkuu Kwa miaka 10 mfululizo Lakini Leo si mwana CCM tena na hata sheria alizoshiriki kuzitunga zikipigiwa kelele na wapinzani anaziona zikimminya na yeye.

Sisi kama vijana lazima tujifunze Kwa wanasiasa hawa wakubwa waliotutangulia.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo lazima wajue kuwa Kuna kesho.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kuwa *Politics is Dynamic* siasa hubadilika.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kabla ya wao kuwepo Leo Kuna wenzao walikuwepo katika nafasi hizo na hivi Sasa hawapo na hata wao hawatakuwepo milele humo.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo ni lazima wajue kwamba hatutungi sheria Kwa mahitaji yetu ya Leo, hatutungi sheria kudhibiti ama kusimamia ama kunyoosha jambo Kwa Leo tu, bali sheria inatungwa Kwa ajili ya Leo, kesho Kwa watoto wake na keshokutwa Kwa wajukuu zake.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini lazima ajifunze kwamba yeye bado ni kijana na hivyo bado ana kesho nyingi, nyingi nyingi zaidi.

Lazima ajifunze kutokufanya jambo la kumfurahisha yeye tu, zaidi litakaloishi Kwa matumizi ya vizazi vyetu.

Tuwatumie wanasiasa waliotutangulia kama kioo chetu cha kujitabiria kesho zetu

Tuwaangalie kina LOWASSA kama walimu wa kweli wa somo la siasa, somo linalosema Kwenye siasa lolote linaweza kutokea.

Nani aliwahi kufikiri Mzee Kingunge Angewahi kuihama CCM Leo? . Nani anaweza kusema alitabiri hili? ..

Naomba niishie hapa Kwa Leo.

Ndimi
Habib Mchange.


Eti sisi kama vijana usikute hapo umeshakata miaka 40 lkn bado unajiita tu kijana!
 
------------------------
Pengine Zama za Kina Augustine Lyatonga Mrema, kuhama kutoka CCM kwenda Upinzani (NCCR MAGEUZI) ni zamani Sana kiasi cha vijana wa umri wangu na Nape kukumbuka sawasawa.

Lakini inatosha kusema kwamba Mrema hakuwa mtu Mdogo ndani ya Serikali ya CCM

Mrema amepata kuwa na nafasi kadhaa za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania,

Mrema amekuwa Waziri wa Kazi, Mrema amekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mrema amewahi mpaka kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakijawahi kuwepo ndani ya katiba ya nchi hii.

Kwa waliomshuhudia Mrema akipigiwa Saluti na Viongozi wa Polisi, akisafishiwa barabara ili apite kuwahi majukumu hakuna aliyeamini kama mrema angeweza kwenda upinzani.

Sio tu hakuna aliyeamini kwamba Mrema atahama CCM, Lakini zaidi hakuna aliyewahi kuwaza kuwa mrema angekuja siku moja kupigwa mabomu ya machozi na Polisi aliowaongoza kama waziri wake Kwa ufanisi mkubwa.

Tuachane na Mrema, si tunasema ya kale hayanuki? .

Juzi hapa yametokea mambo mengine yanayopaswa kuwa FUNZO kubwa Kwa wanasiasa vijana hasa waliopo madarakani hivi Sasa kupitia CCM.

Edward LOWASSA Kwa Sasa anaweza kuwa ndiye Mtanzania maarufu kuliko wote hapa nchini,

LOWASSA amekulia CCM, LOWASSA amelelewa CCM.

LOWASSA amekuwa mkurugenzi wa Taasisi za serikali,

LOWASSA amekuwa Mbunge wa CCM,
LOWASSA amekuwa Naibu waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri Mkuu wa serikali ya CCM,

Lakini LOWASSA Leo si mwanachama wa CCM.

LOWASSA Leo Sio tena mwanamkakati wa Chama cha mapinduzi. Sasa hivi miongoni mwa maadui wa kisiasa wa CCM basi ni Edward LOWASSA.

Zipo sheria nzuri alizoshiriki kuzitunga LOWASSA akiwa waziri na mwana CCM,

Zipo sheria mbaya ambazo LOWASSA ameshiriki kuzitunga akiwa CCM,

Japokwamba zote hizi alishiriki kuzitunga akiamini anakipigania Chama chake, Leo Sio MWANA CCM tena.

Leo hapigiwi tena ving'ora na Leo akifanya mchezo tu anakamatwa na Polisi kama anavyokamatwa Mbowe wa Chadema na Mchange wa Act.

Sio LOWASSA tu, Fredrick Turway SUMAYE halikadharika, yeye tofauti na LOWASSA, SUMAYE amekuwa waziri Mkuu Kwa miaka 10 mfululizo Lakini Leo si mwana CCM tena na hata sheria alizoshiriki kuzitunga zikipigiwa kelele na wapinzani anaziona zikimminya na yeye.

Sisi kama vijana lazima tujifunze Kwa wanasiasa hawa wakubwa waliotutangulia.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo lazima wajue kuwa Kuna kesho.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kuwa *Politics is Dynamic* siasa hubadilika.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kabla ya wao kuwepo Leo Kuna wenzao walikuwepo katika nafasi hizo na hivi Sasa hawapo na hata wao hawatakuwepo milele humo.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo ni lazima wajue kwamba hatutungi sheria Kwa mahitaji yetu ya Leo, hatutungi sheria kudhibiti ama kusimamia ama kunyoosha jambo Kwa Leo tu, bali sheria inatungwa Kwa ajili ya Leo, kesho Kwa watoto wake na keshokutwa Kwa wajukuu zake.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini lazima ajifunze kwamba yeye bado ni kijana na hivyo bado ana kesho nyingi, nyingi nyingi zaidi.

Lazima ajifunze kutokufanya jambo la kumfurahisha yeye tu, zaidi litakaloishi Kwa matumizi ya vizazi vyetu.

Tuwatumie wanasiasa waliotutangulia kama kioo chetu cha kujitabiria kesho zetu

Tuwaangalie kina LOWASSA kama walimu wa kweli wa somo la siasa, somo linalosema Kwenye siasa lolote linaweza kutokea.

Nani aliwahi kufikiri Mzee Kingunge Angewahi kuihama CCM Leo? . Nani anaweza kusema alitabiri hili? ..

Naomba niishie hapa Kwa Leo.

Ndimi
Habib Mchange.
Umeongea kitu kizuri sana, ushauri mzuri kwa vijana wa sasa
 
Kijana anayejitambua hawezi jifunza kwa Lowassa. Akapimwe akili zake!!

Lowassa amefanya hayo kwa kuamini hela ni dawa ya madaraka na ukiwa na hela hata shetani anakupigia magoti. Huwezi jifunza kwake kwa kuwa imedhihirika kuwa ni mtu mwenye njaa ya kuongoza na kuiba mali za taifa kuliko Mtanzania yotote na haijitokea tena mtu kama huyu.

Lowassa hawezi kuwa somo kwa watu kwa kuwa ameungana na waliomtukana sana na ameua chama cha watu wengi na kwa fedha zake kwa 10 B tu.

Nawasilisha,
Ufipa
 
------------------------
Pengine Zama za Kina Augustine Lyatonga Mrema, kuhama kutoka CCM kwenda Upinzani (NCCR MAGEUZI) ni zamani Sana kiasi cha vijana wa umri wangu na Nape kukumbuka sawasawa.

Lakini inatosha kusema kwamba Mrema hakuwa mtu Mdogo ndani ya Serikali ya CCM

Mrema amepata kuwa na nafasi kadhaa za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania,

Mrema amekuwa Waziri wa Kazi, Mrema amekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mrema amewahi mpaka kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakijawahi kuwepo ndani ya katiba ya nchi hii.

Kwa waliomshuhudia Mrema akipigiwa Saluti na Viongozi wa Polisi, akisafishiwa barabara ili apite kuwahi majukumu hakuna aliyeamini kama mrema angeweza kwenda upinzani.

Sio tu hakuna aliyeamini kwamba Mrema atahama CCM, Lakini zaidi hakuna aliyewahi kuwaza kuwa mrema angekuja siku moja kupigwa mabomu ya machozi na Polisi aliowaongoza kama waziri wake Kwa ufanisi mkubwa.

Tuachane na Mrema, si tunasema ya kale hayanuki? .

Juzi hapa yametokea mambo mengine yanayopaswa kuwa FUNZO kubwa Kwa wanasiasa vijana hasa waliopo madarakani hivi Sasa kupitia CCM.

Edward LOWASSA Kwa Sasa anaweza kuwa ndiye Mtanzania maarufu kuliko wote hapa nchini,

LOWASSA amekulia CCM, LOWASSA amelelewa CCM.

LOWASSA amekuwa mkurugenzi wa Taasisi za serikali,

LOWASSA amekuwa Mbunge wa CCM,
LOWASSA amekuwa Naibu waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri Mkuu wa serikali ya CCM,

Lakini LOWASSA Leo si mwanachama wa CCM.

LOWASSA Leo Sio tena mwanamkakati wa Chama cha mapinduzi. Sasa hivi miongoni mwa maadui wa kisiasa wa CCM basi ni Edward LOWASSA.

Zipo sheria nzuri alizoshiriki kuzitunga LOWASSA akiwa waziri na mwana CCM,

Zipo sheria mbaya ambazo LOWASSA ameshiriki kuzitunga akiwa CCM,

Japokwamba zote hizi alishiriki kuzitunga akiamini anakipigania Chama chake, Leo Sio MWANA CCM tena.

Leo hapigiwi tena ving'ora na Leo akifanya mchezo tu anakamatwa na Polisi kama anavyokamatwa Mbowe wa Chadema na Mchange wa Act.

Sio LOWASSA tu, Fredrick Turway SUMAYE halikadharika, yeye tofauti na LOWASSA, SUMAYE amekuwa waziri Mkuu Kwa miaka 10 mfululizo Lakini Leo si mwana CCM tena na hata sheria alizoshiriki kuzitunga zikipigiwa kelele na wapinzani anaziona zikimminya na yeye.

Sisi kama vijana lazima tujifunze Kwa wanasiasa hawa wakubwa waliotutangulia.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo lazima wajue kuwa Kuna kesho.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kuwa *Politics is Dynamic* siasa hubadilika.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kabla ya wao kuwepo Leo Kuna wenzao walikuwepo katika nafasi hizo na hivi Sasa hawapo na hata wao hawatakuwepo milele humo.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo ni lazima wajue kwamba hatutungi sheria Kwa mahitaji yetu ya Leo, hatutungi sheria kudhibiti ama kusimamia ama kunyoosha jambo Kwa Leo tu, bali sheria inatungwa Kwa ajili ya Leo, kesho Kwa watoto wake na keshokutwa Kwa wajukuu zake.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini lazima ajifunze kwamba yeye bado ni kijana na hivyo bado ana kesho nyingi, nyingi nyingi zaidi.

Lazima ajifunze kutokufanya jambo la kumfurahisha yeye tu, zaidi litakaloishi Kwa matumizi ya vizazi vyetu.

Tuwatumie wanasiasa waliotutangulia kama kioo chetu cha kujitabiria kesho zetu

Tuwaangalie kina LOWASSA kama walimu wa kweli wa somo la siasa, somo linalosema Kwenye siasa lolote linaweza kutokea.

Nani aliwahi kufikiri Mzee Kingunge Angewahi kuihama CCM Leo? . Nani anaweza kusema alitabiri hili? ..

Naomba niishie hapa Kwa Leo.

Ndimi
Habib Mchange.
Kipi unataka kutuaminisha hapa?Bila shaka ni kwamba hata Nape naye IPO siku atahama CCM.Hilo linategemea na yeye na sababu itayomwondoa.Lkn tofauti na uliowataja,wao waliondoka Kwa kusukumwa na roho yao ya uchu wa madaraka na Utapeli wao wa siasa!Kwalo wao ndiyo hasa eti walikuwa watu sahihi kuwa pale magogoni jambo ambalo si kweli.Ingetosha uwatambulishe km matapeli na walio na uchu wa madaraka na si uongozi ndicho hasa baada ya kuikosa fursa hiyo ikawalazimu wakajaribu na kuendeleza hiyo nia yao huko kwingineko.Ndiposa hata huko walikoelekea unatambua fika kwamba kwa sababu hizo nilizodhiainisha walitumia pesa za kifisadi kwa waliojifanya WATAKATIFU na wasio na mawaa kuwapatia na hatmaye utaratibu zikakiukwa na wao wakawa wagombea na bado wakakosa tena!
 
Ukiiangalia sana wenye matatizo haya ya kuhama ccm na kuutaka uraisi kwa udi na uvumba ni jamii ya watu wa eneo fulani Katika nchi yetu. Mbona Salim ahmed Salim hakuhama pamoja na fitina zote alizofanyiwa 2005?

Watanzania tuwe makini sana.

Tafakari chukua hatua.
 
------------------------
Pengine Zama za Kina Augustine Lyatonga Mrema, kuhama kutoka CCM kwenda Upinzani (NCCR MAGEUZI) ni zamani Sana kiasi cha vijana wa umri wangu na Nape kukumbuka sawasawa.

Lakini inatosha kusema kwamba Mrema hakuwa mtu Mdogo ndani ya Serikali ya CCM

Mrema amepata kuwa na nafasi kadhaa za uongozi ndani ya serikali ya Tanzania,

Mrema amekuwa Waziri wa Kazi, Mrema amekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mrema amewahi mpaka kuwa Naibu Waziri Mkuu cheo ambacho hakijawahi kuwepo ndani ya katiba ya nchi hii.

Kwa waliomshuhudia Mrema akipigiwa Saluti na Viongozi wa Polisi, akisafishiwa barabara ili apite kuwahi majukumu hakuna aliyeamini kama mrema angeweza kwenda upinzani.

Sio tu hakuna aliyeamini kwamba Mrema atahama CCM, Lakini zaidi hakuna aliyewahi kuwaza kuwa mrema angekuja siku moja kupigwa mabomu ya machozi na Polisi aliowaongoza kama waziri wake Kwa ufanisi mkubwa.

Tuachane na Mrema, si tunasema ya kale hayanuki? .

Juzi hapa yametokea mambo mengine yanayopaswa kuwa FUNZO kubwa Kwa wanasiasa vijana hasa waliopo madarakani hivi Sasa kupitia CCM.

Edward LOWASSA Kwa Sasa anaweza kuwa ndiye Mtanzania maarufu kuliko wote hapa nchini,

LOWASSA amekulia CCM, LOWASSA amelelewa CCM.

LOWASSA amekuwa mkurugenzi wa Taasisi za serikali,

LOWASSA amekuwa Mbunge wa CCM,
LOWASSA amekuwa Naibu waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri wa serikali ya CCM,

LOWASSA amekuwa waziri Mkuu wa serikali ya CCM,

Lakini LOWASSA Leo si mwanachama wa CCM.

LOWASSA Leo Sio tena mwanamkakati wa Chama cha mapinduzi. Sasa hivi miongoni mwa maadui wa kisiasa wa CCM basi ni Edward LOWASSA.

Zipo sheria nzuri alizoshiriki kuzitunga LOWASSA akiwa waziri na mwana CCM,

Zipo sheria mbaya ambazo LOWASSA ameshiriki kuzitunga akiwa CCM,

Japokwamba zote hizi alishiriki kuzitunga akiamini anakipigania Chama chake, Leo Sio MWANA CCM tena.

Leo hapigiwi tena ving'ora na Leo akifanya mchezo tu anakamatwa na Polisi kama anavyokamatwa Mbowe wa Chadema na Mchange wa Act.

Sio LOWASSA tu, Fredrick Turway SUMAYE halikadharika, yeye tofauti na LOWASSA, SUMAYE amekuwa waziri Mkuu Kwa miaka 10 mfululizo Lakini Leo si mwana CCM tena na hata sheria alizoshiriki kuzitunga zikipigiwa kelele na wapinzani anaziona zikimminya na yeye.

Sisi kama vijana lazima tujifunze Kwa wanasiasa hawa wakubwa waliotutangulia.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo lazima wajue kuwa Kuna kesho.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kuwa *Politics is Dynamic* siasa hubadilika.

Nape na vijana wenzake walioko serikalini Leo lazima wajue kabla ya wao kuwepo Leo Kuna wenzao walikuwepo katika nafasi hizo na hivi Sasa hawapo na hata wao hawatakuwepo milele humo.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini Leo ni lazima wajue kwamba hatutungi sheria Kwa mahitaji yetu ya Leo, hatutungi sheria kudhibiti ama kusimamia ama kunyoosha jambo Kwa Leo tu, bali sheria inatungwa Kwa ajili ya Leo, kesho Kwa watoto wake na keshokutwa Kwa wajukuu zake.

Nape na vijana wenzake waliopo serikalini lazima ajifunze kwamba yeye bado ni kijana na hivyo bado ana kesho nyingi, nyingi nyingi zaidi.

Lazima ajifunze kutokufanya jambo la kumfurahisha yeye tu, zaidi litakaloishi Kwa matumizi ya vizazi vyetu.

Tuwatumie wanasiasa waliotutangulia kama kioo chetu cha kujitabiria kesho zetu

Tuwaangalie kina LOWASSA kama walimu wa kweli wa somo la siasa, somo linalosema Kwenye siasa lolote linaweza kutokea.

Nani aliwahi kufikiri Mzee Kingunge Angewahi kuihama CCM Leo? . Nani anaweza kusema alitabiri hili? ..

Naomba niishie hapa Kwa Leo.

Ndimi
Habib Mchange.
CC: RC GAMBO
 
Eti sisi kama vijana usikute hapo umeshakata miaka 40 lkn bado unajiita tu kijana!
Vijana wenye uelewa wa kutosha wengi wao ni wenye umri wa kati ya 35 hadi 45. Kabla ya hapo ni ama watoto na baada ya hapo ni watu wazima.
 
Vijana wenye uelewa wa kutosha wengi wao ni wenye umri wa kati ya 35 hadi 45. Kabla ya hapo ni ama watoto na baada ya hapo ni watu wazima.


Hakuna Kijana wa Miaka 40, 35-45 ni watu wazima na siyo Vijana!
 
Kipi unataka kutuaminisha hapa?Bila shaka ni kwamba hata Nape naye IPO siku atahama CCM.Hilo linategemea na yeye na sababu itayomwondoa.Lkn tofauti na uliowataja,wao waliondoka Kwa kusukumwa na roho yao ya uchu wa madaraka na Utapeli wao wa siasa!Kwalo wao ndiyo hasa eti walikuwa watu sahihi kuwa pale magogoni jambo ambalo si kweli.Ingetosha uwatambulishe km matapeli na walio na uchu wa madaraka na si uongozi ndicho hasa baada ya kuikosa fursa hiyo ikawalazimu wakajaribu na kuendeleza hiyo nia yao huko kwingineko.Ndiposa hata huko walikoelekea unatambua fika kwamba kwa sababu hizo nilizodhiainisha walitumia pesa za kifisadi kwa waliojifanya WATAKATIFU na wasio na mawaa kuwapatia na hatmaye utaratibu zikakiukwa na wao wakawa wagombea na bado wakakosa tena!
Wakati Nape, Samweli Sita, Mpendazaoe Makonda, na wenzao walipoanzisha CCJ ilikuwa kwa ajili ya kucheza mdundiko? Elewa kila mwanasiasa ana uchu/uroho wa madaraka. Hakuna mwanasiasa asiyetaka kuwa na madaraka, wote ni waroho tu. Katika uroho huo Ccm ni vinara,
 
Ukiiangalia sana wenye matatizo haya ya kuhama ccm na kuutaka uraisi kwa udi na uvumba ni jamii ya watu wa eneo fulani Katika nchi yetu. Mbona Salim ahmed Salim hakuhama pamoja na fitina zote alizofanyiwa 2005?

Watanzania tuwe makini sana.

Tafakari chukua hatua.

Hahaha
We nawe
 
Mwalimu Kaijage katika ubora wake wa kumtetea boss wake Zitto
 

Attachments

  • Screenshot_2016-10-21-21-40-30.png
    Screenshot_2016-10-21-21-40-30.png
    16.1 KB · Views: 41

Similar Discussions

Back
Top Bottom