Lowassa na Sumaye wana madaraka yapi CHADEMA?

Lowassa na Sumaye wana madaraka yapi CHADEMA?

Tunamuomba moderator Wa jamii forum watuwekeee na kitufe cha kucheka pale unapooona point ya Mdau imekaa kimauzauza inabidi uichecke watuwekee ki emoji kama vya whatsapp
 
Eheee bhnaa ccm kumbe inawauma kuwepo lowassa na sumaye Chadema wale sio wana ccm na walisema ccm sio mama yao kwa hiyo wanaweza kuhama ila mama uwezi sema sio mama yako kwakua ndio aliekuzaa sasa acheni watimize wajibu wao wanachama wa upinzani
 
Baada ya kuona watanzania wameanza kuwasahau, wanaanza kuendeleza siasa kwenye misiba ili wapate newspapers front page headline.

Kichapo walichokipata kwenye sanduku la kura hawawezi kukisahau katika maisha yao.

Madaraka waliyonayo ndani ya CHADEMA ni pesa yao. Pesa inakupa chochote ndani ya CHADEMA.

Duh? Kweli chadema tunadharaulika safari hii,namna hii!!??
 
Eheee bhnaa ccm kumbe inawauma kuwepo lowassa na sumaye Chadema wale sio wana ccm na walisema ccm sio mama yao kwa hiyo wanaweza kuhama ila mama uwezi sema sio mama yako kwakua ndio aliekuzaa sasa acheni watimize wajibu wao wanachama wa upinzani
Umeelewa swali langu? Sumaye na Lowassa wana mamlaka gani ndani ya CHADEMA? Uchaguzi ushakwisha, lakini inavyoonekana hakuna kikao muhimu cha chama kinachoweza kufanyika bila kuwahusisha. Kwani ugombea urais ni nafasi ya uongozi ndani ya CHADEMA? Na mbaya zaidi kila walipo viongozi wa CHADEMA wanamzunguka na kumnyenyekea Lowassa. Tuelezwe wawili hawa ni nani ndani ya CHADEMA?
 
Nashangaa sana mnapofatilia maisha yao kila siku. Nyie ni remote control mnataka ku control what they do daily? Kila siku mnawataja, kibaya mnatukana tukana tu hadi leo. Mungu awasamehe.
Digna37 hebu onesha tusi kwenye mada hii. Tatizo Peru wana CHADEMA hatutaki kusikia chochote kutuhusu. Tena sisi ndio tunaongoza kwa kashfa na matusi hapa jf. Swali langu ni la msingi kabisa na litabaki kuwa hivyo. Kwa nini CHADEMA ionekane imejengwa kupitia Lowassa badala ya kusimama kama taasisi? Who is Lowassa.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, nimeshtushwa na taarifa ya habari inayosema. Viongozi wa juu wa CHADEMA watoa tamko kuhusu kifo cha Mawazo. Kilichonishitua no uwepo wa Sumaye na Lowassa kwenye kikao cha viongozi hao na hata kupata nafasi ya kutoa tamko. Naomba kujuzwa nafasi za wawili hawa katika CHADEMA.

Ni walezi wa chama
 
Lowasa anawaumiza nn ilihali nchi mnaongoza nyie??? Kila siku Lowassa lowassa lowassa tumechoka na dhiaka zenu juu ya huyu mzee, mwamtakia nini? Mzee wawatu katulia nyie mnamchokonoa tu, mkiambiwa wachawi mtakasirika??? Manaboa

Leo ndio unaona anafanyiwa dhihaka?
Wakati ule mkimuita fisadi mlikua mnamsifia?
 
Ni walezi wa chama
Kwa hiyo CHADEMA hakikuwa na walezi mpaka walipokuja Lowassa na sumaye? Na kama hivyo ndivyo watangazwe rasmi, halafu iwekwe wazi kuwa walezi was chama wana nguvu zaidi ya wote wa chama.
 
Baada ya kuona watanzania wameanza kuwasahau, wanaanza kuendeleza siasa kwenye misiba ili wapate newspapers front page headline.

Kichapo walichokipata kwenye sanduku la kura hawawezi kukisahau katika maisha yao.

Madaraka waliyonayo ndani ya CHADEMA ni pesa yao. Pesa inakupa chochote ndani ya CHADEMA.

Akhsante Mkuu Na Hapo Hapo Ktk Kuongezea Ni Kwamba Hupenda Sana Kufanya Press Conferences Zao Jumapili Tu Ili Kusudi Kesho Yake Wiki Ikiianza Basi Tukio Lao Libebe Sana Vichwa Vya Habari Ili Waonekane Wapo. Na Baada Ya Kuona Kuwa Hotuba Ya Juzi Ya MWANAMUME Rais MAGUFULI Imekubalika KUNAKOTUKUKA Hasa Hasa Na Wana UKAWA Wanaojitambua Na Wenye AKILI Achilia Mbali WATANZANIA Karibia 95% WAMEIKUBALI Sasa Wanataka Kuwatoa Watu Ktk Huo Upande.
 
Wakuu, nimeshtushwa na taarifa ya habari inayosema. Viongozi wa juu wa CHADEMA watoa tamko kuhusu kifo cha Mawazo. Kilichonishitua no uwepo wa Sumaye na Lowassa kwenye kikao cha viongozi hao na hata kupata nafasi ya kutoa tamko. Naomba kujuzwa nafasi za wawili hawa katika CHADEMA.

Kuna uzi mmoja hapa jukwaani kuhusu lowassa na umiliki wa chadema. Ni wa siku nyingi kidogo.
Ukiutembelea utakufunulia mengi na kukupanua ufahamu wako kuhusu chadema
 
Una chezea wa chaga we eti tuwape nchi kirahisi rahisi tu! Tumshukuru sana mungu kutuepusha nao
 
Kuna uzi mmoja hapa jukwaani kuhusu lowassa na umiliki wa chadema. Ni wa siku nyingi kidogo.
Ukiutembelea utakufunulia mengi na kukupanua ufahamu wako kuhusu chadema
Kwa hiyo Mbowe alifika bei!!!??
 
Kwa hiyo Mbowe alifika bei!!!??

Ha ha ha..mie sina jibu..
Ninachojua lowassa alikuwa tu mwanachama wa kawaida, hakuwa na cheo chadema zaidi ya mgombea urais.
Sasa huo uongozi wa chadema na haya matamko anayatoa kama nani?
 
Ha ha ha..mie sina jibu..
Ninachojua lowassa alikuwa tu mwanachama wa kawaida, hakuwa na cheo chadema zaidi ya mgombea urais.
Sasa huo uongozi wa chadema na haya matamko anayatoa kama nani?
Kuna mmoja humu anadai eti ni mlezi wa chama. Mimi hapa ndipo naiona nguvu ya pesa. Hawa kina Tundu Lissu ndio tuliowategemea wapambane na mafisadi bila kujali hali zao!!? Mbona hadi ikulu ingenunuliwa!!
 
Back
Top Bottom