loykeys
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 1,175
- 911
Mmiliki wa sasa wa CHADEMA ni Lowassa. Sumaye ni kama consultant wa CHADEMA ambayo inamilikiwa na Lowassa.
Mbowe kwa sasa ni kama manager tu. Kwa maana stakes za Mbowe na Mtei zote kanunua Lowassa.
da hahah we jamaa wewe acha kuchekesha watu tulionuna