Lowassa na Sumaye wana madaraka yapi CHADEMA?

Lowassa na Sumaye wana madaraka yapi CHADEMA?

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,842
Reaction score
10,765
Wakuu, nimeshtushwa na taarifa ya habari inayosema. Viongozi wa juu wa CHADEMA watoa tamko kuhusu kifo cha Mawazo. Kilichonishitua no uwepo wa Sumaye na Lowassa kwenye kikao cha viongozi hao na hata kupata nafasi ya kutoa tamko. Naomba kujuzwa nafasi za wawili hawa katika CHADEMA.
 
Baada ya kuona watanzania wameanza kuwasahau, wanaanza kuendeleza siasa kwenye misiba ili wapate newspapers front page headline.

Kichapo walichokipata kwenye sanduku la kura hawawezi kukisahau katika maisha yao.

Madaraka waliyonayo ndani ya CHADEMA ni pesa yao. Pesa inakupa chochote ndani ya CHADEMA.
 
Lowasa anawaumiza nn ilihali nchi mnaongoza nyie??? Kila siku Lowassa lowassa lowassa tumechoka na dhiaka zenu juu ya huyu mzee, mwamtakia nini? Mzee wawatu katulia nyie mnamchokonoa tu, mkiambiwa wachawi mtakasirika??? Manaboa
 
Kiki tu,wamepotea haraka sana wiki mbili hizi.santuri ya kuibiwa kura imechuja sasa wapo kwenye maigizo
 
Wakuu, nimeshtushwa na taarifa ya habari inayosema. Viongozi wa juu wa CHADEMA watoa tamko kuhusu kifo cha Mawazo. Kilichonishitua no uwepo wa Sumaye na Lowassa kwenye kikao cha viongozi hao na hata kupata nafasi ya kutoa tamko. Naomba kujuzwa nafasi za wawili hawa katika CHADEMA.
Acha ukudaaa
 
Wakuu, nimeshtushwa na taarifa ya habari inayosema. Viongozi wa juu wa CHADEMA watoa tamko kuhusu kifo cha Mawazo. Kilichonishitua no uwepo wa Sumaye na Lowassa kwenye kikao cha viongozi hao na hata kupata nafasi ya kutoa tamko. Naomba kujuzwa nafasi za wawili hawa katika CHADEMA.

Akili za sisimizi
 
Mmiliki wa sasa wa CHADEMA ni Lowassa. Sumaye ni kama consultant wa CHADEMA ambayo inamilikiwa na Lowassa.

Mbowe kwa sasa ni kama manager tu. Kwa maana stakes za Mbowe na Mtei zote kanunua Lowassa.
 
Unachosema ni kweli ila nadhani hujui kwa nini Sumaye yuko pale. Kiuhalisia ni kuwa ilionekana hali ya afya ya Lowasa haikuwa nzuri kwa hiyo akawekwa mtu wa kushika nafasi yake endapo Lowasa angeshindwa kutimiza majukumu. Ndipo akawekwa Sumaye kama back up.

Mmiliki wa sasa wa CHADEMA ni Lowassa. Sumaye ni kama consultant wa CHADEMA ambayo inamilikiwa na Lowassa.

Mbowe kwa sasa ni kama manager tu. Kwa maana stakes za Mbowe na Mtei zote kanunua Lowassa.
 
Mmiliki wa sasa wa CHADEMA ni Lowassa. Sumaye ni kama consultant wa CHADEMA ambayo inamilikiwa na Lowassa.

Mbowe kwa sasa ni kama manager tu. Kwa maana stakes za Mbowe na Mtei zote kanunua Lowassa.


Mkuu mbona hiyo ni tafsiri ya kampuni na wkt kile ni chama
 
Mmawia uko busy unatetea kibarua!
Nasikia lile desk lako pale kwenye korido ya Ufipa amekabidhiwa bwana Fredrick Sumai. Pole mkuu

Ila nyie CCM mna dhihaka sana naomba siku moja iwe kinyume chake mhisi uchungu huu nilionao. Hawa wazee wamezungumza point tupu halafu washenzi kama nyie Magamba mnawaporomoshea dhihaka na matusi ?????????????!! Naomba tu TUME HURU NA KATIBA MPYA.IPO SIKU MUNGU NI WA WOTE
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom