Lowassa na Rais mpya wa Ghana, ni ugonjwa wetu Waafrika?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Raisi mpya wa wa Ghana ameshutumiwa kunakili hotuba nzima ya Raisi wa USA wakati anaapishwa, hii imenikumbusha wakati wa Kampeni za uchaguzi hapa nyumbani, Mgombea wa ukawa E. Lowasa aliulizwa vipi ni vipaumbele vyako endapo utashinda Uraisi, akajibu ,,Tony Blair alipoulizwa nini vipaembele vyako endapo utashinda uchaguzi wa nchi wa Uingereza alisema education, education education" na mimi nasema elimu, elimu , elimu tangia hapo Waafrika wamfuatao Lowasa mpaka leo hii ukiwauliza chochote utasikia Lowasa alisema elimu, elimu, elimu wamesahau hata kwamba huo msemo Lowasa aliuchukuwa ktk kwa Tony Blair Kiongozi wa nchi ya Uingereza!

Hii ndo Afrika yetu !!
 
Ukasuku umetujaa sisi waafrika. Uvivu mpaka kwenye hotuba ya kuapishwa. Mambo yale yale ya kwenda kwenye internet na kunakili kazi nzima za watu wengine.
 
Raisi mpya wa wa Ghana ameshutumiwa kunakili hotuba nzima ya Raisi wa USA wakati anaapishwa, hii imenikumbusha wakati wa Kampeni za uchaguzi hapa nyumbani, Mgombea wa ukawa E. Lowasa aliulizwa vipi ni vipaumbele vyako endapo utashinda Uraisi, akajibu ,,Tony Blair alipoulizwa nini vipaembele vyako endapo utashinda uchaguzi wa nchi wa Uingereza alisema education, education education" na mimi nasema elimu, elimu , elimu tangia hapo Waafrika wamfuatao Lowasa mpaka leo hii ukiwauliza chochote utasikia Lowasa alisema elimu, elimu, elimu wamesahau hata kwamba huo msemo Lowasa aliuchukuwa ktk kwa Tony Blair Kiongozi wa nchi ya Uingereza!

Hii ndo Afrika yetu!!

Lakini Lowassa alikiri chanzo cha hiyo mistari michache, Jambo ambalo ni la kawaida kwa wasomi.

Kuna wengine sio tu hajui wasomi duniani wanaandika nini BALI hata wakiandikiwa hotuba kusoma hawawezi
 
Raisi mpya wa wa Ghana ameshutumiwa kunakili hotuba nzima ya Raisi wa USA wakati anaapishwa, hii imenikumbusha wakati wa Kampeni za uchaguzi hapa nyumbani, Mgombea wa ukawa E. Lowasa aliulizwa vipi ni vipaumbele vyako endapo utashinda Uraisi, akajibu ,,Tony Blair alipoulizwa nini vipaembele vyako endapo utashinda uchaguzi wa nchi wa Uingereza alisema education, education education" na mimi nasema elimu, elimu , elimu tangia hapo Waafrika wamfuatao Lowasa mpaka leo hii ukiwauliza chochote utasikia Lowasa alisema elimu, elimu, elimu wamesahau hata kwamba huo msemo Lowasa aliuchukuwa ktk kwa Tony Blair Kiongozi wa nchi ya Uingereza!

Hii ndo Afrika yetu!!

Kawaida kucopy statement na sio full speech. sioni tatizo kwa Lowasa, kama tunawacopy kina Socrates na Plato, Blair wa juzi tu ndio iwe nongwa kukopiwa.
Hiyo ya kucopy speech yote ni habari nyingine kabisa.
 
Raisi mpya wa wa Ghana ameshutumiwa kunakili hotuba nzima ya Raisi wa USA wakati anaapishwa, hii imenikumbusha wakati wa Kampeni za uchaguzi hapa nyumbani, Mgombea wa ukawa E. Lowasa aliulizwa vipi ni vipaumbele vyako endapo utashinda Uraisi, akajibu ,,Tony Blair alipoulizwa nini vipaembele vyako endapo utashinda uchaguzi wa nchi wa Uingereza alisema education, education education" na mimi nasema elimu, elimu , elimu tangia hapo Waafrika wamfuatao Lowasa mpaka leo hii ukiwauliza chochote utasikia Lowasa alisema elimu, elimu, elimu wamesahau hata kwamba huo msemo Lowasa aliuchukuwa ktk kwa Tony Blair Kiongozi wa nchi ya Uingereza!

Hii ndo Afrika yetu!!

sasa huoni Lowasa amem-acknowlede Tony Blair??
 
Kawaida kucopy statement na sio full speech. sioni tatizo kwa Lowasa, kama tunawacopy kina Socrates na Plato, Blair wa juzi tu ndio iwe nongwa kukopiwa.
Hiyo ya kucopy speech yote ni habari nyingine kabisa.


Tatizo ni kwamba mazingira yetu hayalingani, kuiga siyo tatizo kila binadamu anaiga lkn tofauti ya wenzetu na sisi, wenzetu wanaiga Maarifa kama alivyosema mzee Kingunge, Waasia wameiga kwa Wazungu lkn hawajaiga kuongea Kiingereza au kunakili Katiba ya USA bali wameiga maafrifa ya Wazungu na kutumia Utamaduni wao kuboresha hayo ni maneno ya Mzee Kingunge, lkn sisi tunaiga mambo ambayo hayawezi kutusaidia kama misemo ya Mzungu, badala ya kuiga maarifa ya Mzungu, ndo maana Ujapani ni tajiri lkn hawajui Kiingereza ingawaje wameiga vingi ktk Ulaya!

Sasa wewe unataka kuwa Raisi wa nchi masikini kama TZ unaulizwa utafanya nini unasema utafanya kama Tony Blair Kiongozi wa nchi ya Uingereza wkt nchi ya Uingereza na TZ ni jamii mbili tofauti nahazifanani kwa chochote kile!
 
Kama degree na Phd tunazipata kwa kukopi, zingine tunapewa tu tunashangaa unategemea nini kama si kukopi hotuba nzima ya mzungu.
"nikaenda udsm nikapewa DIGRII, nikaenda China nikapewa degree, nikaenda Marekani nikapewa digree nikashangaa"
 
Tatizo ni kwamba mazingira yetu hayalingani, kuiga siyo tatizo kila binadamu anaiga lkn tofauti ya wenzetu na sisi, wenzetu wanaiga Maarifa kama alivyosema mzee Kingunge, Waasia wameiga kwa Wazungu lkn hawajaiga kuongea Kiingereza au kunakili Katiba ya USA bali wameiga maafrifa ya Wazungu na kutumia Utamaduni wao kuboresha hayo ni maneno ya Mzee Kingunge, lkn sisi tunaiga mambo ambayo hayawezi kutusaidia kama misemo ya Mzungu, badala ya kuiga maarifa ya Mzungu, ndo maana Ujapani ni tajiri lkn hawajui Kiingereza ingawaje wameiga vingi ktk Ulaya!

Sasa wewe unataka kuwa Raisi wa nchi masikini kama TZ unaulizwa utafanya nini unasema utafanya kama Tony Blair Kiongozi wa nchi ya Uingereza wkt nchi ya Uingereza na TZ ni jamii mbili tofauti nahazifanani kwa chochote kile!

Demokrasia tumeiga, je ni baya hilo?
Mavazi tumeiga, je ni baya hilo?
Je ni vibaya kipaumbele kuwa elimu?
Wahenga walishasema Elimu ndio ufunguo wa maisha.
 
Raisi mpya wa wa Ghana ameshutumiwa kunakili hotuba nzima ya Raisi wa USA wakati anaapishwa, hii imenikumbusha wakati wa Kampeni za uchaguzi hapa nyumbani, Mgombea wa ukawa E. Lowasa aliulizwa vipi ni vipaumbele vyako endapo utashinda Uraisi, akajibu ,,Tony Blair alipoulizwa nini vipaembele vyako endapo utashinda uchaguzi wa nchi wa Uingereza alisema education, education education" na mimi nasema elimu, elimu , elimu tangia hapo Waafrika wamfuatao Lowasa mpaka leo hii ukiwauliza chochote utasikia Lowasa alisema elimu, elimu, elimu wamesahau hata kwamba huo msemo Lowasa aliuchukuwa ktk kwa Tony Blair Kiongozi wa nchi ya Uingereza!


Kwani ni kosa kuchukua nukuu za watu mbalimbali? tofautisha alichokuwa anakifanya lowasa " nukuu" na alichokifanya mke wa trump "plagiarism" kama aliyoifanya sizonje kwenye andishi lake la PHD
 
Hakuna ubaya kuiga kizuri ili mradi akiharibu utamaduni wako,elimu elimu elimu sioni tatizo hapo, sijui kwa huyo wa hotuba nzima.
 
Hii hapa
 

Attachments

  • VID-20170108-WA0000.mp4
    1.4 MB · Views: 28
  • VID-20170108-WA0001.mp4
    985.9 KB · Views: 27
Hivi huu ujinga wa kukopi maneno ya mtu mwingine ndiyo unaitwa usomi??? kwahiyo Lowasa ndiye msomi?? hatari sana.
 
Tunapambana siyo nyie mnaturetea misemo isiyo na tija APA kazi tu atuna kazi maisha bora as atuoni maisha bora nyie ndiyo maisha mabovo
 
Back
Top Bottom