Lowassa na kauli za kilaghai

nimeelewa sana uzi wako na hakika hii ni tafukuru chokonozi imara ambayo tunapaswa kujihoji ni kwa namna gani sanaa kama taaluma ya awali inavyoendelezwa mpaka kwenye maisha halisi ya watu
 

Kwanza,KWANINI UMFANANISHE MO.DEWJI(Tajiri no.1 TZ kwa sasa,no.27 in top50 richest men in africa/akiwa ni mtazania pekee kushika nafasi hiyo ya juu kwenye chart hiyo...source:FORBES-2015) Na LOWASSA???
 
Amesema lowasa ni muongo. Hafai kuchaguliwa, ni mwivi!

Kwani AMESHAINGIA MADARAKANI NA AKASHINDWA KUONDOA UMASIKINI???,HADI USEME NI MUONGO???...KWANI KINACHOSHINDIKANA KIPI???
 
Mkuu kwa taarifa yako tu ni kwamba Magufuli kashaanza kumpongeza Lowassa. Na hilo nampongeza Magufuli kwani ni kuonyesha kuanza kukomaa kisiasa tofauti na alipo anza kampeni. Lifanyie kazi utaupata ukweli.
 
lazima tuwe namaswali ya kujiuliza kama haya ingekuwa ni vyema sana
tusiwe kama nyumbu tuu tunashangilia tuu bila kujijua,lowassa tunae mwongelea ni nani?fisadi hatuna haja na mtu aliye tufilisi taifa hili
 
anauchukia umaskini ndo maana alikaa
osyerbay na sio manzese,hivi magufuli anavyo sema serikali ya magufuli itakuwa ya viwanda wakati umeme hata wakuwasha mafriji ya soda ni shida hivyo viwanda vitaendeshwa kwa mishumaaa?

Mkuu hawa MAFISIEMU WAONGO SANA...ETI HUYO MAGUFULI WAO ANASEMA TANZANIA YANGU ITAKUWA "TANZANIA YA VIWANDA"...SASA SIJUI HIVYO VIWANDA VINAENDESHWA NA KOKOTO AU...MAANA KWA SASA TUNAONA ATA HUO UMEME WA KUWESHA TV TUANGALIE TAARIFA YA HABARI HAUPO,SASA SIJUI HUYO MAGUFULI WAO ANAPOTOA AHADI ANAMAANISHA AU ANAFIKIRI ANAWAAMBIA WATOTO???,MARA ASEME ATAJENGA VIWANDA VYA SAMAKI KANDA YA ZIWA...MBONA ALIVYOKUWA WAZIRI WA UVUVI HATUKUONA HICHO KIWANDA CHA SAMAKI HATA KIMOJA???...,MARA MIL.50 KILA KIJIJI UTADHANI KAAMBIWA WANANCHI WANASHIDA NA PESA...BADALA YA KUSHUSHA BEI BIDHAA ILI WANANCHI WATUMIE KIDOGO WANACHOKIPATA KWENYE MIHANGAIKO YAO YA KILA SIKU KUMUDU GARAMA ZA MAISHA,YANI WOTE WAONGO HADI YULE MGOMBEA MWENZA WA CCM NDO BALAAA...WEWE ONA HAPO⬇
 
Kati ya kauli inayonikera ni ati ataanzisha benki ya wenye bodaboda na mama lishe, je wakulima sio marafiki zake ambao ni 80% ya wa Tanzania?

Labda kama wewe ni gamba,maana unavyosema "je wakulima"...unafikiri ataanzisha benki ngapi???,KUMBUKA WAKULIMA AMESHAWAJALI KWA UPANDE WAO NA ALISEMA "ATA WAFUTIA KODI NA USHURU KWENYE MAZAO YAO,ATAWAONDOLEA MFUMO WA STAKABADHI GHALANA,MAZAO YATAKUWA NA RIBA"...SIKUELEWI UJUE ULITAKA AWAGUSIE VIPI WAKULIMA???
 

kwa hizo ahad za ccm kwenye kampen huwa zinatekelezka wakipata madaraka?
acha ushabiki mandazi cc tunaimani nae hata akikaa kimya asiongee lolote ni tutampigia kura tyu maana hamna namna tumechoshwa na kitu kinaitwa ccm kifie mbali yan tulivyo choshwana hiko chama hata ukawa wangeeka jiwe tungelipigia tyu na kwan huyo magufuli ana sera gan ambayo ina mashiko zaid ya kushangaa na kupiga push up kwenye majukwaa!pili yy mbona alikuw wazir tena ndio mshaur wa raisi alishindwaje kuuondoa umaskin kipind yupo wazir wa miundo mbinu na akiwa kama mshaur wa rais sasa hv anajifanya anaweza.ccm ife tyu imetutesa vya kutosha sasa baaaaaaaasi.kura ya kwa rowasa na za marafik zangu zaid ya 200 wana iman na lowasa co maccm.
 

achana nae huyo gamba usikute ana maslah na ccm yake atuache cc malofa twende na mabadiliko
 
Mbona wamasai wanalia kwao mondulo lowassa ni mlaghai sana
 
achana nae huyo gamba usikute ana maslah na ccm yake atuache cc malofa twende na mabadiliko

Mnanichekesha kabisa
Eti mwataka mabadiliko

Anzen na katiba ya chadema isiyokuwa hata na tone la demokrasia

Fanyen uchaguz wa mwenyekiti wa chadema
Na sio kuchaguliwa na mtei
mkishayafanya hayo njoon sasa tujadiliane kama kweli tunahitaji mabadiliko ndani ya ccm au nje ya ccm

Cc.
nyumbu wote
 
Huu ndio tunauita ulaghai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…