Lowassa na Katiba pendekezwa

Lowassa na Katiba pendekezwa

Tua Ngoma

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
3,277
Reaction score
8,554
Kwanza niseme wazi kwamba mimi ni mwanaCHADEMA mtiifu,na nimefurahishwa sana na Lowasa kuingia UKAWA.

Tumechoka kuwa wasindikizaji kwa miaka ishirini huu ni wakati wa kuchukua nchi sababu miaka yote tumekuwa tukiletewa watu na kuambiwa ni wasafi mwisho wanatugeuka na kuwa wezi shupavu.Mwaka huu nitachagua huyo fisadi ili akawe msafi ikulu

Hoja yangu iko hapa,je nini msimamo wa Lowasa kuhusu katiba pendekezwa,maana alikuwapo bungeni na aliipigia kura ya ndiyo. Je mtazamo wake ni serikali tatu au mbili,tume ya maadili iwepo au isiwepo,vipi kuhusu miswada ya gas. Atuambie ana malengo gani na nchi hii na democrasia yake.

Kama amebadili msimamo aseme hadharani,ndipo atapata kura yangu, atuambie anataka ya Warioba au ya swahiba wake Chenge, anataka mbili au tatu.
 
Mengine yote mbwembwe tu, hili ndo swali kuu.
 
Lowasa kama nani?Akishinda urais nahama Tanzania, ni bora kuwa mkimbizi burundi kuliko kuongozwa na Rais aina ya Lowassa na kundi lake la wachumia tumbo ukawa
 
Lowasa kama nani?Akishinda urais nahama Tanzania, ni bora kuwa mkimbizi burundi kuliko kuongozwa na Rais aina ya Lowassa na kundi lake la wachumia tumbo ukawa
Relax mzee..Nape amewahi sema Kikwete akiwa rais atahama nchi...yako wapi sasa
 
Ccm kwa hizo oost zenu za kutoka lowasa ahamie cdm na awe Mteule wa UKAWA multi akiwepo mufurahi mana munasema ukawa itafutika cdm imefutika Muje basi na posts zinazoonyesha mume furaha Lowasa kuhamia huko cdm mana ndo DCM iiinfutika kwenye siasa za tanzanai
 
Ccm kwa hizo oost zenu za kutoka lowasa ahamie cdm na awe Mteule wa UKAWA multi akiwepo mufurahi mana munasema ukawa itafutika cdm imefutika Muje basi na posts zinazoonyesha mume furaha Lowasa kuhamia huko cdm mana ndo DCM iiinfutika kwenye siasa za tanzanai


Kamanda wa Ufisadi kahamia kwa wasafi camp!daa wote wameshanukia perfume ya mafisadi na dawa yao anayo Magufuli, ni kuwasomba tu!
 
Magufuli rais wa wapi?

Najua unapenda sana ligi! Kina cha Magufuli Mafisadi hawakiwezi hata kama wameamua kuunganisha nguvu zao wakaazima na kukodi mafisadi papa lazima jua la haki liwaunguze tu na watapoteana kama moshi unavyopulizwa na upepo!
 
El alishiriki kikamilifu katika kuipitisha rasimu ya katiba ambayo inapingwa vikali na ukawa....... Sasa swali la kujiuliza endapo tume ya uchaguzi itaitisha kura ya maoni kabla ya uchaguzi, El lazima ataiponda rasimu ile ambayo na yy alishiriki kuipitisha kule Dodoma...... Sasa swali hapa linakuja kwa wale wanaojielewa....Tutamwelewaje?
 
El alishiriki kikamilifu katika kuipitisha rasimu ya katiba ambayo inapingwa vikali na ukawa....... Sasa swali la kujiuliza endapo tume ya uchaguzi itaitisha kura ya maoni kabla ya uchaguzi, El lazima ataiponda rasimu ile ambayo na yy alishiriki kuipitisha kule Dodoma...... Sasa swali hapa linakuja kwa wale wanaojielewa....Tutamwelewaje?

Mpe kura yako baada ya hapo akishinda ndio utajua atafanyaje katiba!
 
najua tunapoteza muda tu humu ila naamini kabisa magufuli ndo rais ajaye.
 
najua tunapoteza muda tu humu ila naamini kabisa magufuli ndo rais ajaye.

Kuna mtu yeyote kakulazimiza uwemo humu jamvini? Nenda kampeti Makufuli rais wako.

Anticipated General election results:
Lowasa 65%
Makufuli 32%
Wachumia tumbo 3%
 
thubutu. niache shughuli zangu nikampigia kampeni magufuli za ulaji? nani kakuambia.
nyie wachumia tumbo endeleeni kuwapiga debe hao wagombea wenu. binafsi sina muda huo mchafu.


Kuna mtu yeyote kakulazimiza uwemo humu jamvini? Nenda kampeti Makufuli rais wako.

Anticipated General election results:
Lowasa 65%
Makufuli 32%
Wachumia tumbo 3%
 
Mbna mnakua mandorobo kutambua vtu vdogo ka hivyo?mambo meng atakayofanya rahic ataongozwa na katiba na washaur wa chama hucka.na huenda edo ameona yote na kugundua hawakua sahih.sasa amekuja ukawa baada ya kuona kwel wana nia ya kulikomboa taifa,sasa ww shida nn hasa?
 
Back
Top Bottom