Lowassa na jitihada za kuukwepa mdahalo

Lowassa na jitihada za kuukwepa mdahalo

Mdahalo wa Lowassa ataufanya na wapiga kura wake, hiyo midahalo yenu FEKI hatuna haja nayo, mbinu zenu za kizamani tushazishtukia mutachora chini NYAMBAFU...

Kizamani kivipi wakati miaka kadhaa tumeshudia mataifa yanayoongoza kiuchumi kama USA.viongozi wa huko wanafanya midaharo....wapiga kura wafanye midaharo kivipi kwani wao ndo marais au wao ndo Lowass na tuhuma za Richmond?
 
Kizamani kivipi wakati miaka kadhaa tumeshudia mataifa yanayoongoza kiuchumi kama USA.viongozi wa huko wanafanya midaharo....wapiga kura wafanye midaharo kivipi kwani wao ndo marais au wao ndo Lowass na tuhuma za Richmond?

Ingawa tulishakataza midahalo tuangalie tusije umbuka. Hiyo Richmond itaje taratibu coz pigo moja la mwisho ndilo hilo hata Mwenyekiti anajua.

Ongezeni vijana wa IT tushambulie jukwaa tumezidiwa huku field
 
Back
Top Bottom