Lowassa na genge lake Vs gesi yetu!

Mkuu kama unayajua yote haya na una ushahidi si uende kwenye vyombo husika kwa hatua zaidi?
Tatizo watanzania wengi waliopo humu wana msimamo huo mmoja tu wa kuiingiza UKAWA mjengoni.
SIdhani kama itakuwa mahala sahihi hapa kuendesha mjadala wako huu.
Kusanya data zako nenda KISUTU pale mahakamani.

 
ufisadi... kwanini anakuwa mgumu kuongelea ufisadi...?

Asingeweza kwa sababu waliomfadhili kukamilisha adhma yake ya ufisadi nao ni mafisadi.
Angeweza kukosa ahadi alizoahidiwa. Naendelea kutafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…