Ngoja nimualike kaka Pasco huwa ana taarifa za huyu mtangaza nia. . . . .labda anaweza kutukwamua hapa
Unamwongelea pasco yule msaka tonge na kibaraka Wa mafisadi?
Last edited by a moderator:
Ngoja nimualike kaka Pasco huwa ana taarifa za huyu mtangaza nia. . . . .labda anaweza kutukwamua hapa
Mkuu , kwanza asante kunialika, pili unaweza usiamini, lakini ukweli ni kuwa sijawahi kufika Monduli!.Ngoja nimualike kaka Pasco huwa ana taarifa za huyu mtangaza nia. . . . .labda anaweza kutukwamua hapa
Mi binafisi sitomsahau mpaka naingia kaburini baada ya kutuletea maji katika jimbo letu la kahama.
sina jingine zaidi ya kuamini umasikini wa watanzania, matatizo katika elimu na ajira ni wakati muafaka sasa kupata msukumo mkubwa katika utendaji na utatuzi wake. Daima ukisema unatenda huwa hivyo tunakuamini na tupo wote katka safari ya matumaini. Mungu awe upande wako daima
Jitahidi uwe unakuja na story mpya hizo zilipendwa.hakuna wa kumzuiya lowassa kwenda ikulu labda Mungu wake tu,na alipangalo Mungu hakuna wakuzuiya
Ukiweza kuithibitishia umma wizi wake utakuwa umefanya jambo la busara, lakini kueneza chuki nakuona kama mkaanga sumu, polee, LOWASSA anawaumiza kichwa sana Mwaka huu
Ukiweza kuithibitishia umma wizi wake utakuwa umefanya jambo la busara, lakini kueneza chuki nakuona kama mkaanga sumu, polee, LOWASSA anawaumiza kichwrE]
Huyo jamaa sı tu mwizi balı hata uwezo wake kiakili ni mdogo kuliko wagombea wote.Etı anaimba umasikini lakını haelezi namna ya kuongeza mapato, kudhibiti matumizi na kupambana na rushwa.Ili jamaa kwa akili zake anaweza mega hata aridhi ya nchi na kuiuza.Hafai.
lowassa for president 2015
Bunge la kina Mwakyembe lilishathibitisha wizi wake kupitia richmond, tatizo una akili ya kuku ya kusahau haraka sana