My brother we are talking of the future and you are taking us to the past. JK is the past now bro. We are shaping the future and Lowasa is not in it.
ccm...alls shits you name down are the products of ""ccm""
no job
poor edu
no meds
**ukosefu wa ajira ni bomu kuu kuliko yote,
wapi viwanda vyetu?
Nani ameyatengeneza haya madudui
Alipokuwa waziri alificha kucha, alipokuwa waziri mkuu zikajitokeza, hakumaliza hata miaka 2, chali!
Sasa ndiyo kaonekana kabisa, na anasema wazi wazi, fedha anayotumia kununulia watu ni ya rafiki zake.
Wewe mbona rafiki zako hawakupi?
Correct the bolded text to make your thread clear!We will take whatever means to bring down Lowasa- mark my words. Lowasa must fail because behind him there is a huge group of hooligans, thieves, buglers, drug dealers, stupid so called great thinkers, prostitutes, robbers, economic sabotagers e.t.c. That said, allowing Lowasa to win , is allowing our society to leave in doom, which no right thinking member of the public should allow this to happen. Lowasa watch this space.
Lowasa hafai hata ujumbe wa nyumba kumi.
Leo yamekua hayo baada ya kukosa zabibu?¿ teh teh teh...sungura banaaa!?
Dada faiza unamchukia lowasa
hivi escrow ilitokea wakati lowassa yupo waziri mkuu? Na yule mama aliyenunua mboga milioni10 yupo chama gani vile?
Upumbavu mnaoufanya ipo siku utakuwa hadharani!!! Mungu huwa hamfichi mnafiki!!,Fox na hao waliokutuma wa Lumumba dhambi itaendelea kuwatafuna kwani ina maana hujui kwa nini ulimuita Dr.salim hezbollar!!!, Ni mambo mengi machafu ambayo mnaandika sana ambayo ni mbinu ambayo le muntuz kapendekeza kwamba mumchafue sana ili muda wote iwe ni kujibu tuhuma!! UPUMBAVU wenu utawatafuna daima!! Le muntuz alikosea kwa kuziweka hadharani lakini hata uchafue vipi EL atasimama kwenye ukweli na kama mlivyoshindwa kumvua gamba kwenye kamati kuu alivyoshusha nondo za RM na akilalamika kwa nini anaitwa fisadi wakati mkuu ndio anajua kila kitu na mhusika mkuu!! Wote tulipata live toka dom na ambao wana akili wamejitenga na upumbavu wenu!!.
Ni aibu kwa msomi kama wewe keep in mind kwenye internet hakuna siri na watu wanakufahamu na wanakujua kuwa wewe una akili timamu ila wajifanya PUMBAVU ili upate malipo na serikali na chama dhalimu viendelee kututawala!!!
Hata mimi sijui kwa nini sisi ni maskini by JK
Hivyo ndivyo mnavyojidanganya? Kwa kipi zaidi? Mgonjwa tuliyemtema?
Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa kwanini kasusa?
CCM lazima muondoke mwaka huu maana hakuna namna nyingine tena
We will take whatever means to bring down Lowasa- mark my words. Lowassa must fail because behind him there is a huge group of hooligans, thieves, buglers, drug dealers, stupid so called great thinkers, prostitutes, robbers, economic sabotagers e.t.c.
That said, allowing Lowassa to win , is allowing our society to leave in doom, which no right thinking member of the public should allow this to happen.
Lowassa watch this space.
Alipokuwa waziri alificha kucha, alipokuwa waziri mkuu zikajitokeza, hakumaliza hata miaka 2, chali!
Sasa ndiyo kaonekana kabisa, na anasema wazi wazi, fedha anayotumia kununulia watu ni ya rafiki zake.
Wewe mbona rafiki zako hawakupi?
Ikiwa kwa fikra kama hizo halafu unajiuliza kwanini wewe ni masikini basi ujuwe wewe ni masikini wa mawazo.
Kuna dhambi zaidi ya kununuliwa na binadam mwenzio huku unafurahia?
ilikuwaje JK akamnadi kule Monduli 2010!!!? na kinana alipomsifia ya kuwa ni 'jembe'!! teh teh teh! utake, usitake, una miaka kumi ya kuwa chini ya kaafir unless uhamie Zanzibar!Lowasa hafai hata ujumbe wa nyumba kumi.
Tanzania Yetu..Miaka 10 Ijayo..iwapo hatutafanya maamuzi sahihi October 25
ilikuwaje JK akamnadi kule Monduli 2010!!!? na kinana alipomsifia ya kuwa ni 'jembe'!! teh teh teh! utake, usitake, una miaka kumi ya kuwa chini ya kaafir unless uhamie Zanzibar!