singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Wanaogopa mahakama maalum ya mafisadi atakayounda tingatinga itawafungaCha ajabu zaidi hata yule aliyekaa kwenye wadhifa huo kwa miaka 10 bado anahamu ya kuingia tena madarakani sijui amesahau nini huyu
usisahau kwamba ktk muda huo ulioutaja mwenyekiti wa ccm alikuwa rais kwa miaka 20; mkapa 10, jk 10,Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.
Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.
Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.
Wakati KANU inakufa Kenya walichagua mpinzani Mwai Kibaki ambaye alishakuwa makamu wa raisi wa Moi,huwezikupata watu wapya kabisa kwenye siasa tunachotaka ni kuutoa mfumo wa CCM basi.CCM OUT
Umesahau kusema Baada ya kutolewa Kanu miaka kadhaa leo Shule zote za msingi nchini Kenya zimefungwa kutokana na Mgomo mkubwa wa Walimu Nchi nzima.
Ni kwa sababu KANU imerudi uongozini. Kumbuka Mwai Kibaki wa NARC alimshinda Uhuru Kenyatta wa KANU mwaka wa 2002. Uhuru alipendekezwa na rais mustaafu Daniel Arap Moi.
na al shabab wanatwanga pande hizo every day.umesahau kusema baada ya kutolewa kanu miaka kadhaa leo shule zote za msingi nchini kenya zimefungwa kutokana na mgomo mkubwa wa walimu nchi nzima.
Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.
Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.
Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.
ccm ilizaliwa mwaka 1977 mpaka leo ni miaka 50. revisit your math mkuu.Kama kigezo ni muda, ccm ina miaka zaidi ya 50!!!!,
Cha ajabu zaidi hata yule aliyekaa kwenye wadhifa huo kwa miaka 10 bado anahamu ya kuingia tena madarakani sijui amesahau nini huyu
Unajua Kenya inagharamia KDF Somalia unadhani ni kiasi gani inatumia, na sasa kipaumbele chao ni Usalama kwanzaUmesahau kusema Baada ya kutolewa Kanu miaka kadhaa leo Shule zote za msingi nchini Kenya zimefungwa kutokana na Mgomo mkubwa wa Walimu Nchi nzima.
Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.
Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.
Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.
Je unajua mshahara wanaolipwa hao waalimu wa kenya na bado wanaona hautoshi? Haya CCM mnawalipa walimu pesa ngapi mpaka wanakaa kimya? Je walimu wanawadai pesa ngapi? Shida ya walimu wa bongo ni waoga na wakifanya makosa mwaka huu, wataendelea kuwa masikini mpaka Yesu aje.Umesahau kusema Baada ya kutolewa Kanu miaka kadhaa leo Shule zote za msingi nchini Kenya zimefungwa kutokana na Mgomo mkubwa wa Walimu Nchi nzima.
Je unajua mshahara wanaolipwa hao waalimu wa kenya na bado wanaona hautoshi? Haya CCM mnawalipa walimu pesa ngapi mpaka wanakaa kimya? Je walimu wanawadai pesa ngapi? Shida ya walimu wa bongo ni waoga na wakifanya makosa mwaka huu, wataendelea kuwa masikini mpaka Yesu aje.
Kenya Walimu wamegoma kwa kuwa Ahadi hazijatekelezwa, acha maneno mengi, ahadi ya Pantoni bure ni mfano
Cha ajabu zaidi hata yule aliyekaa kwenye wadhifa huo kwa miaka 10 bado anahamu ya kuingia tena madarakani sijui amesahau nini huyu