Lowassa: Mh Spika ninajiuzulu Uwaziri mkuu

Lowassa: Mh Spika ninajiuzulu Uwaziri mkuu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,527
Hakuna aliyetegemea

Wabunge wakiongozwa na Spika akisaidiwa na Peter Serukamba wakambembeleza sana lakini akawagomea

Rekodi ile haijavunjwa, Prof Lipumba alijaribu pale CUF lakini akatengua kujiuzulu yeye mwenyewe

Mlale unono šŸ˜„šŸ™
 
Back
Top Bottom