Lowassa, Meghji, Airo hoi bungeni

Lowassa, Meghji, Airo hoi bungeni

Mjinga wewe kazi ya mbunge iko bungeni, kutunga sheria, kujadili na kupisha bajati, kuwakilisha wananchi, na kuisimamia serikali, haya yote unayafanya ukiwa ndani bunge sessions kwa zaidi ya asilimia 90 kazi ya kutekeleza sera na mipango ya maendeleo ni ya serikali maana ndo yenye bajeti! Kwahiyo mbunge akiwa bubu bungeni inamaana hatekelezi wajibu wake!

Ni kweli bwana sio wote wako interested bungeni wengine wanaisaidia jamii na makundi mbalimbali kwa kuwapa fedha nae ni mchango wake!!!!
 
Kusema ukweli mi napenda sana kipindi cha bunge hasa hawa watu wakiongea mnyika,mdee na zitto.
Wananikosha sana.
Wao wapo kazini mie burdani kwangu.
Wao ndiyo walionifanya nianze kupenda kuangalia bunge .
Na wasipochangia nasinzia sana.
 
Mjinga wewe kazi ya mbunge iko bungeni, kutunga sheria, kujadili na kupisha bajati, kuwakilisha wananchi, na kuisimamia serikali, haya yote unayafanya ukiwa ndani bunge sessions kwa zaidi ya asilimia 90 kazi ya kutekeleza sera na mipango ya maendeleo ni ya serikali maana ndo yenye bajeti! Kwahiyo mbunge akiwa bubu bungeni inamaana hatekelezi wajibu wake!

Afadhali mimi ni mjinga lakini wewe ni mpumbavu! sababu wabunge wenu wanatabia ya kuropoka ropoka wakidhani wanauwezo mkubwa wa kushambulia au kuchambua hoja bungeni! lakini mara nyingi hao wenye kuropoka wanakamatwa na kanuni na sheria za bunge utafikiri hawakwenda shule na nyinyi mnaona kufukuzwa na kutolewa nje ya bunge ni starehe kumbe ndivyo mnavyodhihirisha ulimbukeni bungeni!
 
Ni kweli bwana sio wote wako interested bungeni wengine wanaisaidia jamii na makundi mbalimbali kwa kuwapa fedha nae ni mchango wake!!!!

Sasa bungeni wanfuata nini? Is wakafungue NGO wawasaidie watu, na kuacha wengine wawe wabunge na kuwakilisha wananchi.
 
peleka unafiki wako huko yani unataka lowassa abishane na mnyika ,lowassa ni mtendaji siyo copo tupu hawezi kushabikia kelele za chura. mnyika alikuwa hachangii chochote hata hoja moja ya kufanya nchi kufika malengo yake bali walikuwa wanabishana na mwigilu na jazba zake za kutafuta umarufu ,ubungo tuna shida ya maji hata siku moja hawasilisha bungeni ,hata mwndishi wa makala hii nina shaka na kaelimu chake,
 
peleka unafiki wako huko yani unataka lowassa abishane na mnyika ,lowassa ni mtendaji siyo copo tupu hawezi kushabikia kelele za chura. mnyika alikuwa hachangii chochote hata hoja moja ya kufanya nchi kufika malengo yake bali walikuwa wanabishana na mwigilu na jazba zake za kutafuta umarufu ,ubungo tuna shida ya maji hata siku moja hawasilisha bungeni ,hata mwndishi wa makala hii nina shaka na kaelimu chake,



Wale wanaoweza kuchakia Maendeleo kwa wananchi na bungeni wanabaki mabubu ,nawashasuri wakafungue NGO
 
hizo ni picha tu bila ya chenga......................Bungeni lazima uchangie vinginevyo si ukae kwenu?
 
Ni kweli bwana sio wote wako interested bungeni wengine wanaisaidia jamii na makundi mbalimbali kwa kuwapa fedha nae ni mchango wake!!!!

mkuu, wew na unayemuunga mkono hamko sambamba. yey anasema kuchangia bungen ni muhmu wew unasema akitoa mafweza kwa wa2 inatosha maana naye ndo mchango wake. unaona?
 
Back
Top Bottom