OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
-
- #61
hotel ni kitega uchumi cha kanisa!ni chanzo cha mapato.mkopo ndio uliotumika katika ujenzi wa jengo la hotel!
mfano mwingine ni safari hotel ya arusha! inasemekana inafanya vizuri sana!
Mi nafikiri ya kwmb kuna njama wanafanya hao majangili. Hiyo hoteli inawasaidia vipi waumini?
Mi ni Mlutheri ila sina faida na hotel ile wa Selian hosptal.
hotel ni kitega uchumi cha kanisa!ni chanzo cha mapato.mkopo ndio uliotumika katika ujenzi wa jengo la hotel!
mfano mwingine ni safari hotel ya arusha! inasemekana inafanya vizuri sana!
Hii hotel inaaiwa zaidi ya 10 billion bro sio bilion 1, tumeshaendesha harambee za ndani kwa dayosisi mzima zaidi mara 2 kwa kila mkristo kutoa shs 30,000/= kwa dayosisi mzima, mie mwenyewe nimechangia sana tu, kiukweli kanisani nako kuna ufisadi tena mwingi tu na ninajua hata kama sie tutaunyamazia watoto wetu wa vizazi vijavyo watakuja kuwapiga wachungaji na maaskofu mawe! halafu nasikitika kwa system ya kkkt askofu akimess up hawezi kuwajibishwa, ingekuwa ni roma askofu lazima alishawajibishwa!! ila all in all makanisa tena yote kuna ufisadi mwing sana unafanyika
wajenge chuo kabisa
Ni swala jema ila sisi waluteri ninapata shida pale ambapo tuna miliki mashule. Hospitals. Vyuo ila waumini wa hali ya chini ambao ni wachangiaji wakubwa wa maendeleo hawapati ile direct impact mf. Shule ya agape seminary Mtoto wa muumini wa maisha ya kawaida hawezi SOMA pale mfano mwingine tuition fee ya chuo chetu Tumain IPO juu compare with St agst ya mwanza ambacho ni cha kanisa pia so kwa mawazo yangu lazima tuliangalie kwa upande wa pili. Kwa niliyemkwaza sorry.
hotel ni kitega uchumi cha kanisa!ni chanzo cha mapato.mkopo ndio uliotumika katika ujenzi wa jengo la hotel!
mfano mwingine ni safari hotel ya arusha! inasemekana inafanya vizuri sana!
lowasa ata kama baadhi ya wapnzani wake kisiasa na vbaraka wao wanajaribu kumchafua he is clean...MUNGU AMBARIKI NA ATIMIZE MALENGO YAKE 2015 MUNGU AMPE AFYA NJEMA AWE RAIS WETUnyie ndo wale wale mnao miliki id mbilimbili,unaandka na unajibu ww
Juzi tu tulilipa riba peke yake milioni 600, bado awamu nyingine.
Hoteli ya kanisa hairuhusu wazinzi, walevi, wavuta sigara kulala pale, na hakuna lounge kwa ajili ya kupata vinywaji vikali ndiyo maana hoteli haifanyi vizuri.
USHAURI WANGU;
Hoteli ya Corridor Spring iuzwe, fedha zitakazopatikana zielekezwe kujenga shule au hospitali ya kanisa
Juzi tu tulilipa riba peke yake milioni 600, bado awamu nyingine.
Hoteli ya kanisa hairuhusu wazinzi, walevi, wavuta sigara kulala pale, na hakuna lounge kwa ajili ya kupata vinywaji vikali ndiyo maana hoteli haifanyi vizuri.
USHAURI WANGU;
Hoteli ya Corridor Spring iuzwe, fedha zitakazopatikana zielekezwe kujenga shule au hospitali ya kanisa
mkuu managemnt sehemu yeyote ikishakuwa nzuri tu,mambo yote yanakwenda poa,hata mi naikubali sna ile management ya safar hotel
Hakuna kukwazana hapa hizo ni facts, waumini tunajibana kichangia miradi ya kanisa ambayo mwisho wa siku hiyo miradi haina manufaa wala impact kwetu waumini mwisho wa siku mradi ukifail turudie kuchangia kunusulu miradi, huu ni upuuzi.
Pamoja na kuitumikia ccm, BAKWATA haina hata ka mgahawa licha ya hotel,hospital,university!halafu bado hao hao waislam wanaishabikia ccm, huku social development zero
Ni swala jema ila sisi waluteri ninapata shida pale ambapo tuna miliki mashule. Hospitals. Vyuo ila waumini wa hali ya chini ambao ni wachangiaji wakubwa wa maendeleo hawapati ile direct impact mf. Shule ya agape seminary Mtoto wa muumini wa maisha ya kawaida hawezi SOMA pale mfano mwingine tuition fee ya chuo chetu Tumain IPO juu compare with St agst ya mwanza ambacho ni cha kanisa pia so kwa mawazo yangu lazima tuliangalie kwa upande wa pili. Kwa niliyemkwaza sorry.