Lowassa, maji ya shingo

naona mitoto ya kigamba inafarijiana, ccm lazima itoke tu!

Mwaka huu iko kazi, punde nimetoka kuchukuwa lift ya bajaji ikiwa na bendera ya Chadema, nikamwuliza kijana, vipi kulikoni... mbona Maguguli jembe? Akajibu "kweli ni jembe, tatizo shamba alilopo halina mbolea!"
 
Kwiiiiiiiiiiiiiiii wanauza mavi kwenye gunia haliuziki hilo. Habari ya mujini ni Rais John P Magufuli. Hatuchagui Rais mchovu mwenye madeni ya mafisadi,tunamtaka mchapakazi.huyo mchovu wenu atafanyiwa kazi na Mbowe na Mbatia tutapona kuwakabidhi hawa jamaa hazina yetu?
 

Acha kujichekelesha kwa mabwana zako
 
Pole sana nyie pigen pishap sis tunapiga kura uskose taarifa ya hbr leo ujionee mara
 

Unaongea saana, subiri jumatatu ya tarehe 26 Oktoba hapo unaweza ukaongea chochote, maana matokeo yatakuwa yashaanza kutoka.
 
Lowassa sio maji ya shingo bali ameyanywa na yanamzamisha.
 
baada ya upepo kuonyesha kuwa ccm inakwenda kushinda tena wameanza kutumia mbinu zote ikiwemo kutengeneza picha za mafuriko.

Kama mgombea wenu anazomewa mpaka anashindwa kuhutubia unafikiri ukawa wanamambo ya kiboya namna hiyo:what: nyie mnasema Lowassa kazomewa ushahidi toeni basi hola, tutawasambaratisha kwenye sanduku la kuraπŸ˜€πŸ˜€
 
Kura tutalinda tu mumeanza kuhakisha ushindi baada ya mahakama yenu kipofu kukyuka sheria ya inchi! sisi tutalinda kura tu huyo anayejamba akipiga push up ikulu mwaka huu ccm hamuioni
 

Huyu Kijana Mwenyewe Anaye Kata Jina La LOWASSA Hata Kufungua Kinywa Chenyewe Hajapata Afya Mbaya Anashindwa Hata Kupata Milo 2 Alafu Anashabikia Ccm? Ama Kweli Kuna Watu Ilitakiwa Watengewe Sehemu Zao Kama Mirembe, Maana Kuwa Na Watu Sampuli Hii Ni Janga La Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…