Lowassa kwa maono ya Le Mutuz!!!

Wewe huna akili jaribu kuangalia nyakati usikompee alipokuwa CCM na alipohamia UKAWA. Fanya yako acha upotoshaji wa UMMA wewe na huyo kampeni manager wote mna mawazo mgando mmegubikwa na mahisia ya CCM sisi vijana tulizaliwa CCM tumeikuta na imetuweka hapa pabaya tulipo. Huna nguvu ya kutubadili mawazo. Tunabadilishwa na nguvu ya mabadiliko ya kweli. Tunawaweka wengine wenda treni, ndege na meli zikarudi. Tuambie kwanza maisha bora kwa kila mtanzania na ajira kwa vijana ziko wapi afu ndo uongee mengine. Huna akili huko uliko sio bure utakuwa unakula pesa za watanzania pia. Fikiria tena na tena ndo uje utuambie vizuri
 
Another FACT is 'hahahahahahahaa'
 
Mkuu usipige rangi picha ya swala wakati swala yupo upenuni.

Le Mutuz katoa FACTS.
Tujibu hoja kwa hoja.

Ni vema mkazijibu kwa staili hiyo.
Maandamano ya uwingi na kuhamasishwa watu kwa viroba na pesa , ukweli unaonekana wazi.
 
Huyo Le Mutuz kubwa jinga nae hapo kaona kaongea jambo la maana kwelikweli. Kwa hiyo akili yake kubwa anayojisifu nayo kashindwa kuelewa FACT ya HOJA SIO WALIOJITOKEZA HADHARANI KUMFUATA LOWASSA UKAWA, HOJA NI KURA WATAMPA NANI OCTOBER 25?
Mtu kubaki CCM sio hoja, kimwili wapo CCM, rohoni wapo na Lowassa UKAWA na hii ndio Fact sio hizo blah blah.
 
We shall see,kura yangu ni kwa Ukawa hata waweke jiwe
 
We ni kama wale wanaoandamana kwa viroba vya valuu.
Hauko mioyoni mwa watu kujieleza hivyo, unless ni mchawi!
Mwenye dhamira safi na wazi anajionyesha mchana kweupeeee!
 
lemutuz_nation this is not- the FACTS but absolutely nonsense kwa kuwa lengo kubwa la Caption yako hii nikutaka kuwatisha vijana kuwa ili uweze kupata fursa ni lazima ushabikie maccm kitu ambacho ni upuuzi katika dunia ya leo na ukizingatia wewe ni msomi.- Na nukuu "Na wewe kijana unayekimbilia kumfwata Lowassa UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni point of no return " Ni opportunities gani hizo kijana wakitz amewahi kuzipata akishabikia CCM na atazikosa endapo atamfwata LOWASSAofficialpage UKAWA!?
Ukitaka nikuelewe/tukuelewe weka facts hapa za nikwanini kijana wakitz anakila sababu ya kushabikia ccm na kuipiga kura October.

Vijana wakitanzania tumepigika vyeti vipo ila vimegeuka mapambo ya kuta na vitanda vya kunguni ili hali fedha/mabilioni ya MFUKO WA MAENDELEO YA VIJANA chini ya WHVUM na OFISI YA WAZIRI MKUU kila mwaka unatengewa mabilioni na wanakula wenyewe baba zao ikulu na washirika wao bila shaka na wewe ukiwemo ndiyo maanaa unaona nisawa kijana wakitz achague maccm.

TIB(Tanzania Investment Bank) ilitangaza fursa pamoja na mafunzo kwa ajili ya kuwasaidia wahitimu wa vyuo vikuu mikopo ili waweze kujiajiri, mafunzo wakahudhuria na vyeti wakapata ila mabilioni wakabeba wengine alafu leo lemutuz_nation unaniambia nisimshabikie LOWASSAofficialpage kupitia UKAWA awe rais wangu wa awamu ya tano ni kwa kipi ambacho maccm wamenipa.

Bum la chuo linatolewa kwa double standards na hata nikipata lazima nigome nipigwe mabomu ndiyo niwekewe kwenye account alafu leo hii@lemutuz_nation unanitisha unaniambia nishabikie maccm kwa kipi walichonipa zaidi ya kuvuja jasho lisilo na matunda.

Vijana tupo zaidi ya milioni 16.2 lakini walio ajiriwa serekalini ni 188,087tu na makampuni binafsi 1.03 hivyo zaid ya milioni 15 tunashanga tu mjini na hiyo ndiyo unataka iwe sababu ya sisi kushabikia ccm na pombe!?

Vijana wangapi leo yao ni bora kuliko jana yao!? na wanauhakika wa kesho yao kuwa bora kuliko leo yao!? wawe na uthubutu wakuishabikia ccm ambayo imewapeleka likizo kwa miaka yote hiyo na kumwacha LOWASSAofficialpage anayeonyesha kila dalili yakuwatoa kwenye likizo isiyonamalipo.

Duniani kote vijana ndiyo wenye kuamua taifa lao liwe la namna gani,na CCM walilala usingizi wa pono bila kututhamini wakidhani vijana ni watoto wa viongozi wao tu kitu ambacho leo kinawavujisha damu za pua. Na hakika October 26 ikiwa itakuwa ni siku yangu yakuzaliwa itakuwa rasmi pia siku aliyoangushwa mkoloni mweusi CCM nchi Tz.

CCM IMETUFANYA WAJINGA VYA KUTOSHA, SASA BASI! !
 
Last edited by a moderator:
We ni kama wale wanaoandamana kwa viroba vya valuu.
Hauko mioyoni mwa watu kujieleza hivyo, unless ni mchawi!
Mwenye dhamira safi na wazi anajionyesha mchana kweupeeee!

Well....
Ngoja nikupe mifano miwili. Kuna wenyeviti wawili ninaowafahamu hadi sasa wapo CCM ila kura zao + familia zao ni kwa Lowassa. Mmoja ni mwenyekiti wangu wa mtaa mwingine ni baba yangu mkubwa.
Need I say more?
#TukutaneOctober
 
lemutuz_nation this is not- the FACTS but absolutely nonsense kwa kuwa lengo kubwa la Caption yako hii nikutaka kuwatisha vijana kuwa ili uweze kupata fursa ni lazima ushabikie maccm kitu ambacho ni upuuzi katika dunia ya leo na ukizingatia wewe ni msomi.- Na nukuu "Na wewe kijana unayekimbilia kumfwata Lowassa UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni point of no return " Ni opportunities gani hizo kijana wakitz amewahi kuzipata akishabikia CCM na atazikosa endapo atamfwata LOWASSAofficialpage UKAWA!?
Ukitaka nikuelewe/tukuelewe weka facts hapa za nikwanini kijana wakitz anakila sababu ya kushabikia ccm na kuipiga kura October.

Vijana wakitanzania tumepigika vyeti vipo ila vimegeuka mapambo ya kuta na vitanda vya kunguni ili hali fedha/mabilioni ya MFUKO WA MAENDELEO YA VIJANA chini ya WHVUM na OFISI YA WAZIRI MKUU kila mwaka unatengewa mabilioni na wanakula wenyewe baba zao ikulu na washirika wao bila shaka na wewe ukiwemo ndiyo maanaa unaona nisawa kijana wakitz achague maccm.

TIB(Tanzania Investment Bank) ilitangaza fursa pamoja na mafunzo kwa ajili ya kuwasaidia wahitimu wa vyuo vikuu mikopo ili waweze kujiajiri, mafunzo wakahudhuria na vyeti wakapata ila mabilioni wakabeba wengine alafu leo lemutuz_nation unaniambia nisimshabikie LOWASSAofficialpage kupitia UKAWA awe rais wangu wa awamu ya tano ni kwa kipi ambacho maccm wamenipa.

Bum la chuo linatolewa kwa double standards na hata nikipata lazima nigome nipigwe mabomu ndiyo niwekewe kwenye account alafu leo hii@lemutuz_nation unanitisha unaniambia nishabikie maccm kwa kipi walichonipa zaidi ya kuvuja jasho lisilo na matunda.

Vijana tupo zaidi ya milioni 16.2 lakini walio ajiriwa serekalini ni 188,087tu na makampuni binafsi 1.03 hivyo zaid ya milioni 15 tunashanga tu mjini na hiyo ndiyo unataka iwe sababu ya sisi kushabikia ccm na pombe!?

Vijana wangapi leo yao ni bora kuliko jana yao!? na wanauhakika wa kesho yao kuwa bora kuliko leo yao!? wawe na uthubutu wakuishabikia ccm ambayo imewapeleka likizo kwa miaka yote hiyo na kumwacha LOWASSAofficialpage anayeonyesha kila dalili yakuwatoa kwenye likizo isiyonamalipo.

Duniani kote vijana ndiyo wenye kuamua taifa lao liwe la namna gani,na CCM walilala usingizi wa pono bila kututhamini wakidhani vijana ni watoto wa viongozi wao tu kitu ambacho leo kinawavujisha damu za pua. Na hakika October 26 ikiwa itakuwa ni siku yangu yakuzaliwa itakuwa rasmi pia siku aliyoangushwa mkoloni mweusi CCM nchi Tz.

CCM IMETUFANYA WAJINGA VYA KUTOSHA, SASA BASI! !
 
Last edited by a moderator:
Fact ni kwamba hakuna vita mbaya ya kupigana ukiwa na moles ndani. Hiyo ndo Kali sana kuliko hao wanaotangaza kutoka, tuvumilie tuu ni suala LA muda, itabainika tuu.


FACT ni kwamba CCM itafutika kabisa wakati wabunge 150 waliokuwa wanamuunga mkono EL watakapojitoa rasmi CCM baada ya kuteuliwa Tume ya Uchaguzi na kuwaacha Ukawa kupita bila kupingwa. Hapo ndo Le Mutuz atajua kuwa watu wazima wanafanya mambo kimkakati sio kulefa fact za kitoto hapa.

Ningeshangaa sana kuona kundi lote la EL lingehama siku moja. Tusubiri tuone maana muda ni jibu la kila kitu. Si Kikwete wala CCM walijua kwamba EL engehama. Na laiti wangejua wasingemteua JPM kuwa mgombea wao.
 
le mutuz sometimes anatoaga maneno kuntu sana huyu raia
 
Neno ni moja tu..all we need is this giant monster( ccm) out..hapo ndo mengine yatazungumzika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…