Lowasa ana ushawishi gani ? Labda kwa nyumbu kama weweHakika kishindo cha serikali ya awamu ya tano mara baada ya kuanza kazi iliaminisha watu wengi kuwa LOWASSA 2020 hatakuwa na ushawishi kwani ilionekana mkuu wa kaya ameweza ila ghafla mambo yamebadilika hasa kwa sababu kuu tatu.
1. Hatua zote zilizochukulia na zinazoendelea kuchukuliwa kutoleta faida ya moja kwa moja kwa wananchi walio wengi.
2. Inaonekana mambo yanashughulikiwa kwa makundi na watu wachache mno mfano ujenzi wa nyumba za askari magereza ukonga je askari wa sehemu zingine wanajiuliza watajengewa lini, uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa kada fulani huku wengine wakiachwa kama majeshi namna inavyosemekana.
3. Tatazo la ajira kutopatiwa ufumbuzi, kwani hali imezidi kuwa ngumu serikalini na binafsi hata shughuli za watu kukwama.
4. CCM kuendelea kutofanya siasa katika mashina hii inazidi kukiondoa chama karibu na watu kuzingatia mikutano ya hadhara hadi 2020.
Hivyo ukiachilia mifumo na vyombo vya mamuzi katika uchaguzi ndani nchi hii, LOWASSA 2020 bado atasumbua vikali mno.
Ccm mbele kw mbeleeeeeCCM walipoamua kumsimamisha Magufuli hawakuwa wajinga.Piga ua garagaza wasukuma wataendelea kumpigia msukuma mwenzao.Wasukuma wanamsemo 'huwezi mpa mbwa wa jirani mifupa huku wa kwako akilala njaa' hata kama wa kwako kakukosea vipi utampa tu.Lowasa aendelee kuisoma tu hakuna namna hamuwezi huyu ngosha.Wasukuma nawaogopa sana,hawana utani
wamsimamishe nani?Siwashauri Chadena kumsimamisha Lowassa 2020, najua ni wabishi na wata fanya hivo, ila hapo itakuwa mna mtafutia magufuli second term.
Yangu macho
Lowasa hasimamishwi, anajisimamisha mwenyewe, chama ni Mali yakeSiwashauri Chadena kumsimamisha Lowassa 2020, najua ni wabishi na wata fanya hivo, ila hapo itakuwa mna mtafutia magufuli second term.
Yangu macho
Small mind can't have develop mind, ukabila wako kaa nao huko huko,hivi unafikiri na nini wewe na cjui kama unamaanisha au Ni mzaha kwani hao wasukuma Ni asilimia ngapi ya wapiga kura wa Tz alafu acheni ukabila wenu nyie watu.CCM walipoamua kumsimamisha Magufuli hawakuwa wajinga.Piga ua garagaza wasukuma wataendelea kumpigia msukuma mwenzao.Wasukuma wanamsemo 'huwezi mpa mbwa wa jirani mifupa huku wa kwako akilala njaa' hata kama wa kwako kakukosea vipi utampa tu.Lowasa aendelee kuisoma tu hakuna namna hamuwezi huyu ngosha.Wasukuma nawaogopa sana,hawana utani
Kazi zinafanyika labda kama unaishi kwa mjomba au shemejiFanyeni kazi
Huo ndio mwisho wako wa kufikiri au......?Upinzani kama wanataka kuchukua nchi hii they should forget about Lowassa completely .Watafute mtu wanayeona mzalendo anayekubalika wampe promo apambane na chama kubwa vinginevyo wataishia kuaindikiza na kuzungusha mikono.
CCM sio wajinga kumuweka Magufuli na yeye anapiga kazi haangalii nyani usoni.Mpaka miaka ifike mitano tutakuwa mbali sana kimaendeleo maana JPM hataki ujinga wowote.Hivyo wapinzani wajipange sana
CCM walipoamua kumsimamisha Magufuli hawakuwa wajinga.Piga ua garagaza wasukuma wataendelea kumpigia msukuma mwenzao.Wasukuma wanamsemo 'huwezi mpa mbwa wa jirani mifupa huku wa kwako akilala njaa' hata kama wa kwako kakukosea vipi utampa tu.Lowasa aendelee kuisoma tu hakuna namna hamuwezi huyu ngosha.Wasukuma nawaogopa sana,hawana utani
Ndio mwisho wako piaHuo ndio mwisho wako wa kufikiri au......?
Ccm wataanguka tu by any means
Akifikia 1/10 ya aliyofanya JK katika miaka mitano ya kwanza nipigie simu 000000001.Upinzani kama wanataka kuchukua nchi hii they should forget about Lowassa completely .Watafute mtu wanayeona mzalendo anayekubalika wampe promo apambane na chama kubwa vinginevyo wataishia kuaindikiza na kuzungusha mikono.
CCM sio wajinga kumuweka Magufuli na yeye anapiga kazi haangalii nyani usoni.Mpaka miaka ifike mitano tutakuwa mbali sana kimaendeleo maana JPM hataki ujinga wowote.Hivyo wapinzani wajipange sana