galaw
Member
- Oct 1, 2016
- 13
- 29
Hakika kishindo cha serikali ya awamu ya tano mara baada ya kuanza kazi iliaminisha watu wengi kuwa LOWASSA 2020 hatakuwa na ushawishi kwani ilionekana mkuu wa kaya ameweza ila ghafla mambo yamebadilika hasa kwa sababu kuu tatu.
1. Hatua zote zilizochukulia na zinazoendelea kuchukuliwa kutoleta faida ya moja kwa moja kwa wananchi walio wengi.
2. Inaonekana mambo yanashughulikiwa kwa makundi na watu wachache mno mfano ujenzi wa nyumba za askari magereza ukonga je askari wa sehemu zingine wanajiuliza watajengewa lini, uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa kada fulani huku wengine wakiachwa kama majeshi namna inavyosemekana.
3. Tatazo la ajira kutopatiwa ufumbuzi, kwani hali imezidi kuwa ngumu serikalini na binafsi hata shughuli za watu kukwama.
4. CCM kuendelea kutofanya siasa katika mashina hii inazidi kukiondoa chama karibu na watu kuzingatia mikutano ya hadhara hadi 2020.
Hivyo ukiachilia mifumo na vyombo vya mamuzi katika uchaguzi ndani nchi hii, LOWASSA 2020 bado atasumbua vikali mno.
1. Hatua zote zilizochukulia na zinazoendelea kuchukuliwa kutoleta faida ya moja kwa moja kwa wananchi walio wengi.
2. Inaonekana mambo yanashughulikiwa kwa makundi na watu wachache mno mfano ujenzi wa nyumba za askari magereza ukonga je askari wa sehemu zingine wanajiuliza watajengewa lini, uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa kada fulani huku wengine wakiachwa kama majeshi namna inavyosemekana.
3. Tatazo la ajira kutopatiwa ufumbuzi, kwani hali imezidi kuwa ngumu serikalini na binafsi hata shughuli za watu kukwama.
4. CCM kuendelea kutofanya siasa katika mashina hii inazidi kukiondoa chama karibu na watu kuzingatia mikutano ya hadhara hadi 2020.
Hivyo ukiachilia mifumo na vyombo vya mamuzi katika uchaguzi ndani nchi hii, LOWASSA 2020 bado atasumbua vikali mno.