Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

2015..cjui hii nyimbo ya amani na utulivu itaendelea kuwepo! Najiuliza cpati jibu,je wapemba nao watakuwa na nchi yao mara baada ya Zanzibari kujitenga? Lowassa akiwa raisi nahama nchi.
 
2015..cjui hii nyimbo ya amani na utulivu itaendelea kuwepo! Najiuliza cpati jibu,je wapemba nao watakuwa na nchi yao mara baada ya Zanzibari kujitenga? Lowassa akiwa raisi nahama nchi.

Hama tu, Tz ina wenyewe, wenye uchungu nayo.

Na... taka tusitake....CCM ITATUTAWALA DAIMA.
 
Sijuhi hii nchi ni ile ya kusadikika,EL kaachia ngazi serikalini kwa kutumia madaraka yake visivyo kaujumu taifa bado hatujakaa sawa Ccm wakamrudisha serikalini kupitia mhimili mwingne wa serikali Bunge (kupitia kamati) nyeti yenye kuhusika na usalama wa taifa

kwa maana nyepesi ni kwamba sasa idara ya usalama ya taifa inawajibika kwa mtu yuleyule aliyelihujumu taifa miaka michache iliyopita ...where is good governance here,where is the rule of law then, and where is the law of the state?finally God will make the law by himself!
 
Hama tu, Tz ina wenyewe, wenye uchungu nayo.

Na... taka tusitake....CCM ITATUTAWALA DAIMA.
Naota nadanganywa eee naota nadanganywa ooooooooooooh. Kuna ndoto lakini ndoto nyingine usiwaambie watu. wale wale wanaambiwa mama kaenda kununua mtoto hakumbuki hata tumbo alilokuwa nalo kabla! Tunajua sasa mtoto anazaliwa na mama baada ya kubeba mimba na hanunuliwi! Kwisha habari yenu!
 
moz-screenshot.png
Afu avatar yako sikuiona LAT kumbe yaingilia kisogoni yatokea mdomoni! Basi huyo alokisogoni huyo! Ndo akulisha maneno nawe wasema tu bila kufikiri!
 
Hapa hakuna cha nini wala nini hapa ni nguvu ya uma inahitajika kujinusuru kwani Lowasa ndio Rais wa CCM 2015, Kwa great thinker nadhani hilo ndo kaburi lao wamejichimbia wenyewe wala tusiwakosoe ili tupate fimbo ya kuwachapia,
Sijuhi hii nchi ni ile ya kusadikika,EL kaachia ngazi serikalini kwa kutumia madaraka yake visivyo kaujumu taifa bado hatujakaa sawa Ccm wakamrudisha serikalini kupitia mhimili mwingne wa serikali Bunge (kupitia kamati) nyeti yenye kuhusika na usalama wa taifa

kwa maana nyepesi ni kwamba sasa idara ya usalama ya taifa inawajibika kwa mtu yuleyule aliyelihujumu taifa miaka michache iliyopita ...where is good governance here,where is the rule of law then, and where is the law of the state?finally God will make the law by himself!
 
Nilisema jana watu wasipoteze usingizi wao bure. Hivi inaingia akilini kweli kuwa na mwenyekiti aliyeleta kampuni ya mfukoni Richmond na baadaye Dowans kuwa na nafasi katika uongozi Tanzania? JK na EL wanawachezea Watanzania kama watoto wadogo. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Chacha chubirini ndio mtakoma ubishi .... ..... .....

Muhujumu wa uchumi badala ya kufikishwa mahakamani na kushitakiwa na kufilisiwa wanampa ulaji wa fedha za walipa kodi. JK kashikwa pabaya na hapa hachomoki khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
KWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAFISADI it is possible lakini it will be madness to be Mwenyekiti ya Watanzania. Unless ametupu na kurudisha mali zake ameibia wa Tanzania kwa wa Tanzania kama Zakayo then Jesus will enter his house otherwise it is a non starting point for him. TOO BAD FOR HIM let him try his luck for CHAMA CHA MAFISADI , CCM
 
Definately but blinded as the party members are it is inevitably. It will be too bad for them and too good for us
 
Good job sisiem. Unafikiri watanzania ni wajinga na wana-brain mbaya kama zenu? Ni ukweli ukikaa na vipofu wenzako hakuna wa kuwaonyesha mwanga unatokea upande gani.

Tanzania's Prime Minister Edward Lowassa has tendered his resignation after being implicated in an energy deal corruption scandal.
He has denied that his office was involved in improperly awarding a contract to US-based electricity company Richmond Development in 2006.

_44410170_palowassa203.jpg


Tanzanian PM to resign over graft
The firm failed to provide emergency power during a power crisis in 2006. Following Mr Lowassa's announcement to parliament, two other ministers linked to the scandal resigned. The BBC's Africa analyst Mary Harper says the offer of resignation from such a senior member of government for alleged links with corruption is unprecedented in Tanzania, and unusual in Africa. But Tanzania has been getting more serious about corruption since President Jakaya Kikwete was elected in 2005. Just last month, the governor of the central bank was sacked following the disappearance of public funds from the bank...
BBC NEWS | Africa | Tanzanian PM to resign over graft
 
Edward Lowassa alikua threat na bado ni threat kwa Kikwete...kwasababu hiyo Kikwete atahakikisha Lowassa hapewi nafasi ya kugombea Uraisi kwa tiketi ya CCM because of uncertain future.
 
Back
Top Bottom