Acha kukufuru mjinga wewe.
Uwe unaangalia vitu vya kupost kabla hujapost.
MUNGU aliyejifanya mwanadamu ili aje kutukomboa huwezi kumlinganisha na FISADI PAPA Lowassa, Mmeru anayejifanya Mmasai.
TZ needs lowasa like christians need Jesus
Acha kukufuru mjinga wewe.
Uwe unaangalia vitu vya kupost kabla hujapost.
MUNGU aliyejifanya mwanadamu ili aje kutukomboa huwezi kumlinganisha na FISADI PAPA Lowassa, Mmeru anayejifanya Mmasai.
This is a contemptuous, profane utterance; total blasphemy!
Kuwasaidia wafuasi wa lowasa ningewashauri mshaurini kuwa apige picha ya ikulu na atafute ramani yake na kwa kuwa anahela ajenge ya kwake kule monduli ili awe raisi wa monduli. Lowasa hawezi kuwa rais wa JMT. Lowasa alipokuwa anahama nyumba ya waziri mkuu albeba vitu vyote mpaka TV, vitanda vya serikali akapeleka kwake wakati ni mali ya serikali, na serikali inajua hilo. Pole Lowasa rais kazi yake sio kuendesha harambee!safi sana RAISI WETU 2015
Via #Friends_of_LOWASSA
wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,
Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,
Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja
Jamani siipendi CCM hata chembe, ila Lowasa namkubali maana hata Richmond si yeye ni Mkuu wa K.... Kumbukeni alivyosema pale Dodoma kwenye kikao cha CCM, Mkuu inamaana kuna ambacho hukijui au unataka niseme Mkuu wa K akakaa kimya. Hata hivyo Richmond kwani imeishia wapi? Naomba tusiwe wepesi wa kusahau Lowasa is a man of action, I admire his hard working spirit.
lowassa hoyeeeeeeeee, wakristo hoyeeeeeeeeeeeee, kanda ya kaskazini hoyeeeeeeeeeeeeee, ritz hoyeeeeee, le mutuz hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, lowasa ndiye mgombea urais kwa tuket ya ccm ajaye. lowasa juuuuu, juu juuuu zaid. kanda ya kaskazini na sisi tumooooo, lazima mgombea urais (si rais) kwa tiketi ya ccm awe lowasa wa kanda ya kaskazini na mkristu. hatumtaki membe yule ni kanda ya kusini alipotokaga mkapa, sasa hivi ccm ni zamu ya kanda ya kaskazini na ni zamu ya mkristo. kidumu chama cha mapinduzi
Aisee jina lako zuri sana. Hongera