Lowassa kukaangwa kama Yesu!

Hatma ya CCM ni uwamuzi wao katika uteuzi wa mgombea urais wakikosea tu UKAWA wanachukua nchi kilaini na hakika mbinu za kuchakachua zitashindwa.Jeuri yao kuwa yote wakamuwea atakubalika si sasa ni Enzi za mwl nyerere pekee
 
Hatma ya CCM ni uwamuzi wao katika uteuzi wa mgombea urais anayekubalika wakikosea tu UKAWA wanachukua nchi kilaini na hakika mbinu za kuchakachua zitashindwa.Jeuri yao kuwa yeyote watakayemuweka atakubalika si sasa ni Enzi za mwl nyerere pekee
 
Nadhani ifikie hatua tuheshimu imani za watu, huwezi kumfananisha Lowassa na Yesu Kristo, kwa context ipi? Mtaje muhammad basi
 

Rais ajae hawezi toka kaskazini! Prince riz moko.
 
Wamkaange, wamchemshe watajua wenyewe sisi tunachotaka October 2015 waondoke watuachie UKAWA ile nyumba yetu ya magogoni
 
Gamba haling'oki hilo mpaka litue magogoni.
 
Tafadhali usitumie hilo jina Yesu .Show some respect tpaul
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…