Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
TAARIFA KWA VIONGOZI WOTE WA KATA PAMOJA NA MADIWANI WOTE WILAYA YA UBUNGO,
Jumatatu tarehe 07/09/2015,Mgombea Urais wetu mhe. EDWARD LOWASSA, Ratiba yake itakuwa J3 ATAKUWEPO KWENYE JIMBO LA KIBAMBA.
Hivyo kila viongozi twapaswa kushiriki Maandalizi yote.pamoja na kuhakikisha tunahamasisha WANACHAMA WETU PAMOJA NA WANANCHI WANASHIRIKI KWA WINGI.
ENEO LA MKUTANO NI MBEZI MWISHO STAND MPYA KULIA KUNA UWANJA MKUBWA.
MUDA WA MKUTANO Twapaswa asubui kuanzia saa tatu kuanza kufika MKUTANONI,
MKUTANO UTAKUWA UNARUSHWA LIVE kwenye TV ZOTE.
tuwahamasishe wananchi wote washiriki kwa Wingi sana.tuandaeni vikundi.vya hamasa kama NGOMA/TARUMBETA/NK,
HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE.
LOWASSSSAAAAAAAA📢📢📢📢📢📢📢📢,
KUMBUKA!!!!! MAKAMANDA WOTE MKOA WA DARE ES SALAAM... MSIKOSE MKUTANO HUU WA MGOMBEA URAIS.
MAdiwani wote 14 Wilaya ya UBUNGO Msikose mtanadiwa hapo/PAMOJA NA WABUNGE WA MAJIMBO YOTE KIBAMBA/UBUNGO.
PEOPLESSSSSS#
By PERFECT.J.MWASIWELWA,
KATIBU MWENEZI WILAYA UBUNGO.
(0713 530336)
Sambaza taarifa hii kwa group nyingi zaidi#
Jumatatu tarehe 07/09/2015,Mgombea Urais wetu mhe. EDWARD LOWASSA, Ratiba yake itakuwa J3 ATAKUWEPO KWENYE JIMBO LA KIBAMBA.
Hivyo kila viongozi twapaswa kushiriki Maandalizi yote.pamoja na kuhakikisha tunahamasisha WANACHAMA WETU PAMOJA NA WANANCHI WANASHIRIKI KWA WINGI.
ENEO LA MKUTANO NI MBEZI MWISHO STAND MPYA KULIA KUNA UWANJA MKUBWA.
MUDA WA MKUTANO Twapaswa asubui kuanzia saa tatu kuanza kufika MKUTANONI,
MKUTANO UTAKUWA UNARUSHWA LIVE kwenye TV ZOTE.
tuwahamasishe wananchi wote washiriki kwa Wingi sana.tuandaeni vikundi.vya hamasa kama NGOMA/TARUMBETA/NK,
HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE.
LOWASSSSAAAAAAAA📢📢📢📢📢📢📢📢,
KUMBUKA!!!!! MAKAMANDA WOTE MKOA WA DARE ES SALAAM... MSIKOSE MKUTANO HUU WA MGOMBEA URAIS.
MAdiwani wote 14 Wilaya ya UBUNGO Msikose mtanadiwa hapo/PAMOJA NA WABUNGE WA MAJIMBO YOTE KIBAMBA/UBUNGO.
PEOPLESSSSSS#
By PERFECT.J.MWASIWELWA,
KATIBU MWENEZI WILAYA UBUNGO.
(0713 530336)
Sambaza taarifa hii kwa group nyingi zaidi#